Recent content by Abhairegi

  1. A

    Natafuta mchumba wa kike

    Habari za uzima wakuu? Natafuta binti mwenye sifa zifuatazo: Umri chini ya miaka 30, Awe na utu,uvumilivu na upendo. Elimu kuanzia kidato cha nne. Awe tayari kuishi dsm. Kimo kuanzia futi 4ft 9' Rangi yoyote,dini yoyote. Awe na matumaini ya upendo na kujenga familia hata kama kaumizwa kwenye...
  2. A

    Umeshawahi kujiuliza ni kwanini ndoa zilidumu?

    Wengi wao ni kabila moja, dini moja na hata wakati mwengine wanatoka vijiji vya karibu na koo zao unakuta zinafahamiana kabla hata ya ndoa, kwahiyo hakuna jipya au la ajabu linalofanywa na mmoja wao kwa mwengine kwa asilimia kubwa ndoa zao hazikua za majaribu au kubahatisha .
  3. A

    Historia: Historia inaonyesha Wanyambo Ni Jews(WAYAHUDI)

    Kulazimisha kuwa kama mtu flani genetically ni ugonjwa wa akili na kutojiamini na uthibitisho bado upo kwenye utumwa, tuwazoee mkuu ni wagonjwa tu ao wapo kila jamii ya afrika (kabila)
  4. A

    Huu mgogoro wetu na Malawi sio wa kuisha leo wala kesho

    Acha propaganda zako we mkimbizi
  5. A

    Rwanda is only country to be among middle economies by 2025

    Propaganda tu yani ukishawaelewa hawakusumbui kabisa na ukitaka kuwajua ishi nao kabisa ndo utaona uhalisia wao.
  6. A

    Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

    Umemuona nawe mkuu, nafikiri huyu si mtanzania ila ni wale wafaidikaji wa upande ule kule kwao, ana hofu tonge kumponyoka mdomoni.
  7. A

    Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

    Kwa hiko kicheko una maanisha hilo ni jambo jema kwako??
  8. A

    Rwanda: Kikundi kipya cha waasi chaweka wazi nia yake ya kupindua Serikali ya Paul Kagame

    Mkuu unacho ongea kipo ila uyo jamaa anajaribu kuaminisha wasiojua kuwa akipo usipate tabu sana kumuelewesha just muelewe dhumuni lake tu halafu mpotezee
  9. A

    Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

    Mambo hayatabiriki hadi sasa yani dakika 15 za kwanza belgium alikua vizuri ila hizi dakika 10 za mwisho france amekuwa vizuri mno
  10. A

    Video: Wasomi wetu UDOM wakishindwa kutaja kirefu cha ATM

    Mkuu mleta mada ni wale wanaojiona werevu (wajanja) kwa kujua aina za simu au magari au historia ya queen elizabeth wakati haina mashiko na maendeleo yake kwa nyanja zote
  11. A

    Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

    Wajukuu wa bibi elizabeth washaiona nusu fainali
  12. A

    Waziri Kangi Lugola anaiwakilisha vyema tabia ya Watu wa Mkoa wa Mara

    Nilikua nakusahihisha, ila kama ni ushindani kwako it's ok
Back
Top Bottom