Recent content by abhagangaji

  1. A

    Sababu 8 za Tanzania kutengwa EAC hizi hapa

    Tanzania ina kila kitu kinachohitajika duniani ili hawa watu watuheshimu kinachohitajika kwa sasa ni kupata mtu PATRIOTIC atakayetuongoza kwa kadri ya mapenzi yetu kwa ujumla wetu kama Watanzania. Amini nakuambieni kuna siku na saa mtu huyo atapatikana, na mawazo yake na maono atakayokuwa nayo...
  2. A

    Sababu 8 za Tanzania kutengwa EAC hizi hapa

    Hili la EAC political platform siyo la leo. Mimi nilikuwa kati ya watu ambao walipinga kwa nguvu zao zote kuwaingiza Warundi na Wanyarwanda(aspirants wa Bahima Empire) ktk ile iliyokuwa genuine EAC. Kagame(a known war monger) na M7(a power aspirant of all time) ni washabiki wakubwa wa hii...
  3. A

    (TETESI)Watanzania walioko Rwanda matatani?

    Hili ni swala la msingi, hebu tujue ukweli halafu tujadili
  4. A

    ukweli juu ya yanga sc na usajili wa ngasa.

    Simba ni wahuni tu
  5. A

    Rais Kikwete awaombe radhi Wanyarwanda

    Rais Kikwete hana haja wala sababu ya kuomba radhi. Who is Kagame after all? Asilete ubabaishaji anaowafanyia Kongo hapa kwetu. Nasema tena Kikwete hana sababu ya kuomba radhi, kwa lipi?
  6. A

    JK apanda chati DRC!!!

    Hata mimi napenda alichofanya JK lakini asisahau kuchukuwa madini na mbao huko kulipia gharama tunazoingia wakati wa kutekeleza jukumu letu la kuwafanya Wakongo nao waishi na kuifurahia nchi yao kama binadamu wengine.
  7. A

    Siri ya Dr.Slaa na Dr.Ayub Rioba kuwa na msimamo sawa kuhusu Amani

    Ndugu zangu wa-Tanganyika, tunapokuwa tunaongelea masuala muhimu ya nchi yetu ni vyema tukajikita katika uhalisia na umuhimu wake. Amani yetu ijadiliwe kwa kuuona umuhimu wake siyo kuingiza chuki binafsi katika majadiliano yetu.Kuna watu wakiona jina la Dr Slaa tu wanarukwa na akili. Slaa ana...
  8. A

    Siri ya Dr.Slaa na Dr.Ayub Rioba kuwa na msimamo sawa kuhusu Amani

    Ndugu zangu wa-Tanganyika, tunapokuwa tunaongelea masuala muhimu ya nchi yetu ni vyema tukajikita katika uhalisia na umuhimu wake. Amani yetu ijadiliwe kwa kuuona umuhimu wake siyo kuingiza chuki binafsi katika majadiliano yetu.Kuna watu wakiona jina la Dr Slaa tu wanarukwa na akili. Slaa ana...
  9. A

    Kwa Uzoefu Wako: Dada Huyu Kabila Gani?

    Mkuu huyu atakuwa Mchaga tena mmchame na hana mme
  10. A

    Dada zangu wa kichaga jisafisheni kimapenzi maana sehemu kubwa ya jamii inawaogopa kimapenzi

    Kama ulikuwepo mkuu, maana mambo haya yana kanuni yake si hivihivi tu
  11. A

    Dada zangu wa kichaga jisafisheni kimapenzi maana sehemu kubwa ya jamii inawaogopa kimapenzi

    Mmmmh hili la wanawake wa kichaga kuua ili wamiliki mali halijawahi kuwa na utata kama ilivyo ile kanuni ya Albert Einstin E = M(C squared)
  12. A

    Siri mgogoro wa gesi yafichuka

    Na huo ndio utakaokuwa mwisho wa wanyama wetu kutoroshewa Uarabuni
Back
Top Bottom