abhagangaji
Member
- Aug 16, 2012
- 17
- 4
Na huo ndio utakaokuwa mwisho wa wanyama wetu kutoroshewa Uarabuni
wanaharakati walioitwa wachochezi na walifanikisha azma zao.
1.nyerere
2.kenyata
3.kwame nkuruma
4.nelson mandela
5.mahlangu
6.steve biko
7.indira gandhi.
8.martin ruther king
na hawa wote waliitwa wachochezi wavunja amani na nchi zao zote zilifanikiwa kupata uhuru kutoka mikononi mwa wezi wachache watawala wa wakati huo.
sasa dr slaa nayeye atafanikiwa kuirejesha nchi mikononi mwa wananchi, kutoka mikononi mwa watawala wachache wezi wa rasilimali za taifa (ccm)mapambano ndio yanaanza ccm fungeni mikanda hakuna kulala lazima tuwaondoe tu.
Hapo umenena,kwa mtu aliyeangalia taarifa aliyoitoa Dr.Nchi kwa waandishi wa habari inaonyesha mgogoro haujaisha ila umetulizwa kwa sababu amesema ulinzi umeimarishwa na vyombo vya usalama.sasa kama suala hili limeisha kwa nini ulinzi umeimarishwa?Ungekuwa umeisha tulitegemea tuona akina na Hawa ghasia wakipeana mikono na wananchi wa mtwara kama ishara ya amani na kusahau yaliyotokea.Kinachoigharimu serikali ya ccm ni uongo wa wazi ambao badala ya kumaliza tatizo unaongeza hasira za watu.Sidhani kama suala la gesi limeisha. Kuna maswali mengi kuliko majibu. Kama wananchi walipotoshwa na hawakupewa taarifa sahihi naye aliyepaswa kutoa taarifa sahihi? Kwanini kunakuwa na ombwe la taarifa sahihi katika nchi hii? Lakini kwa hali halisi kuna mantiki gani kusafirisha gesi hadi Dar ili kuzalisha umeme badala ya kuzalisha umeme Mtwara na kuusafirisha hadi Dar? hebu watoe gharama za kuzalisha umeme Mtwara na kuusafirisha hadi Dar ilizilinganishwe na kujenga bomba la gesi hadi Dar.
Huyu mbona anafahamika bingwa wa kuhairisha migogoro mizengo kayanza peter pinda!!!!!!!!!!!!!!
Nahisi ngoma bado