Rais Kikwete awaombe radhi Wanyarwanda

Rais Kikwete awaombe radhi Wanyarwanda

Status
Not open for further replies.
Rais Kikwete hana haja wala sababu ya kuomba radhi. Who is Kagame after all? Asilete ubabaishaji anaowafanyia Kongo hapa kwetu.
Nasema tena Kikwete hana sababu ya kuomba radhi, kwa lipi?
 
Huyu mwandishi amenikera kweli. Nadhani hajasoma vizuri historia ya Rwanda. Nisiende huko kwa kuwa nina jazba. JK akimuomba msamaha Kagame kwa njia yoyote ile nahama nchi. Kagame aombwe msamaha kwa lipi? yeye ndiye anatakiwa aombe msamaha kwa JK.
Mkuu Kimbunga kama Kikwete alikuwa anaijua vizuri historia ya Wanyarwanda(Hutu and Tusi) asingetoa ushauri ule hata kama ni ushauri mzuri kiasi gani, ugomvi wa Rwanda na nchi za maziwa makuu si mwepesi kama wengi wanavyochukulia una mizizi ya damu ndani ya Kongo, Uganda, Burundi kwa hiyo si wa kuingia kichwa kichwa, jiulize kwa nini marais wengine wa EAC hata wa Afrika kina Zuma wenye nguvu barani Afrika wako kimya why Kikwete alone and why now.

Ushauri wangu kwa Kikwete leave them alone shughurikia matatizo yetu ya ndani kwanza then ya nje baadae.
 
KAGAME ana machungu gani yeye mwenyewe ni MTUHUMIWA no. 1 wa mauaji ya wakuu wa Nchi wawili (Rwanda & Burundi) hakuna ubaya wa Rais JK kumshauri akae na waasi ili kupatana hilo ni kwa faida ya Wanyarwanda na Nchi zote zilizopo ukanda wa maziwa makuu.
 
Hakuna la maana aliloandika hapo zaidi ya kutetea utusi. Kuna mahali ameandika kuwa watusi waliuliwa na intarahamwe (wahutu), mbona hazungumzii jinsi kagame alivyomuua rais Mhutu. Hivi ina maana mtusi akiuliwa ni unyama lakini akiuliwa mhutu siyo unyama kwa kuwa wao hawana nyama. Kasimba unasema mtu ukimpa ushauri kama hataki umuombe radhi, je wewe unaona ni sahihi kama hutaki ushauri njia sahihi ni kumtishia aliyekupa ushauri?
njia zote mbili si sahihi, kutishia mtu aliyetoa ushauli pia si sahihi! Lakini pia our president inatakiwa aombe ladhi! Au kwenye urais hamna u gentlemen?
 
Hata kama hammpendi Rais Kikwete, nasema kwa hili hana sababu ya kuomba radhi. Aombe ili iweje? JK watuachie sisi wenyewe tutofautiane naye huku, linapokuja suala la nchi, msimamo wetu ni mmoja-kuungana! Tusikubali kwa namna yoyote kuruhusu nguvu za nje kutuvuruga hata kama Rais wetu wengine humu ndani hawampendi.

Manyerere, acha mambo yako wewe do a course in critical thinking and come back to write some sense here, kama kwa mambo ya ndani watuache tukosoane sisi wenyewe na rais wetu, "JK watuachie sisi wenyewe tutofautiane naye huku, linapokuja suala la nchi, msimamo wetu ni mmoja-kuungana!" that statement applies to your dear presedent as well, awaache na hivyo muwaache wanyarwanda nao kuhusu mambo yao, azungumze na nani na asizungumze na nani waachieni wanyarwanda. Ukitaka kujua nani anafanya nini na ukitaka kusema jambo kubali sifa au malalamiko juu ya ulichosema, sidhani kama Kagame angefurahia hayo maneno mungamwambia atuachie rais wetu, vile amepinga ndo imekuwa nongwa. NCHI IWE TAYARI kama nchi kwa tuliyosema, and I am happy to defend TZ.
 
Aliyeshauriwa si aache kuupokea ushauri halafu amwambie aliyemshauri hataki ushauri wake? Kwisha habari kwa nini anataka kupigana na kuanzisha vita kwa sababu gani si akatae ushauri tu!
 
njia zote mbili si sahihi, kutishia mtu aliyetoa ushauli pia si sahihi! Lakini pia our president inatakiwa aombe ladhi! Au kwenye urais hamna u gentlemen?

Aombe radhi alimkosea nani? Ulitaka amwambie kagame aendelee kuwaua raia wa kongo ndani ya nchi yao?
 
Huyu mwandishi amenikera kweli. Nadhani hajasoma vizuri historia ya Rwanda. Nisiende huko kwa kuwa nina jazba. JK akimuomba msamaha Kagame kwa njia yoyote ile nahama nchi. Kagame aombwe msamaha kwa lipi? yeye ndiye anatakiwa aombe msamaha kwa JK.
Mimi ntamshangaa kweli akifanya hivyo. Kwa lipi awaombe msamaha? Tunajua thamani ya maisha na mali zinazopotea Congo?
 
umeongea kidiplomasia saana, mi naona kuna logic, ukimwambia mtu kitu asipopendezwa nacho, huna budi kumuomba ladhi, i can see the logic behind, manaake ninachoona ni mpambano usio na tija kwa pande zote mbili!

JK amwombe radhi kagame kwa lipi? Hao fdrl wana tofauti gani na hao watutsi wa m23 wanaoua wakongoman ktk nchi yao? Msiwe mnaropoka jamani! Na hatuombi radhi kwa blood sucker kagame
 
Mbona wao wanataka M23 ikae meza moja na serikali ya congo,halafu wao awataki kukaa na FDLR.
 
JK amwombe radhi kagame kwa lipi? Hao fdrl wana tofauti gani na hao watutsi wa m23 wanaoua wakongoman ktk nchi yao? Msiwe mnaropoka jamani! Na hatuombi radhi kwa blood sucker kagame
Wewe unaonekana huna hata chembe ya diplomatic heart, wenzio wanadiplomasia kuomba radhi ni chorus of a day, Kikwete ni mmojawapo!
 
kwa hili tuko pamoja na rais kikwete, kama hao fldr wameendelea na vita vya muda mrefu dhidi ya wakongo na hata rwanda yenyewe, kikwete alikua sahihi kutoa ushauri ule, hapa cha muhimu ni hiki, jaribuni kutekeleza kile rais wenu alicho kisema, tutashughulika na nyie, kwanza ni watu wa ajabu sijapata kuona, hamna shukurani kabisa, tumewahifadhi bure kwa muda mrefu hapa nchini wakati kwenu kukiwa na vita halafu leo eti mnakuja na koropoka, jwtz ipo tayari kwa kazi, hizi zote mnaleta mara baada ya kubanywa kule goma na wizi wenu mliokua mkiendelea nao huko ma madini ya almasi na dhahabu. Narudia, kwa hili tutabaki kama watanzania na sio cdm na ccm!

mkuu natumia simu kula like
 
Ukingalia kwa makini huo mtiririko wa matukio utakuja kuona hakukua na sababu ya Msingi kwa Raisi Kikwete kuongelea suala hili kwenye ule mkutano kama kweli nia yake ya dhati ni uondoaji wa tofauti ya serikali ya Rwanda na FDRL kwa njia ya mazungumzo! Mie naona angetumia principle hiyo hiyo anayo idvocate kuwasaidia ndugu zetu na majirani zetu Rwanda....ya kumuita Kagame kukaa naye chini na kuongea nae kirafiki kabisa...kwa sababu mwisho wa siku jukumu linabakia upande wa Kagame kufanya uamuzi wa kukubali kuongea na FDRL au la....najua lisingezaa matunda kwa kikao kimoja au viwili lakini huko mbeleni lingeweza kupewa nafasi ndani ya moyo wa Kagame....anyway halijaharibika kitu coz ata washauri wa Raisi wetu ni binadam wanakosea sometimes....kilichobaki ni Kikwete kujifanya -------- amwite Kagame au hata kama ni kuomba radhi ( which to me is the last option ) wakae, waondoe kwanza hili gape lililopo now la kutunishiana misuli, thn waangalie possibility nyingine ya kukaa na hawa ndugu zet FDRL kutatua migogoro yao! Hili jambo linawezekana ila lina garama kwa njia yoyote utakayotumia! Linaweza likatugarimu

1.vita kati yetu na Rwanda na muendelezo wa vita kati ya Rwanda na FDRL ambapo hata ndugu zetu ( Watanzania na Warwanda wataathirika kwa kumwaga dam zao au hata athari za kisaikolojia na kiuchumi...kwa sababu vita inagarama kubwa ndugu zangu)

2. Au kuonekana wajinga kwa kuomba msamaha na kukaa meza moja kirafiki na kutatua hili tatizo...kitu kitakachowasaidia Warwanda na Sisi pia

I stand to be corrected ila katika maisha yangu mafupi niliyoishi nimeona option ya 2 inakuaga na mafanikio from individual level to the nation al large! Thnx guyz

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Harafu watu mnasahau source ya hii comflict ni nini! Jamaa i mean Kikwete alipropose Wanyaluanda vikundi hasimu wakae kwenye round table na wayamalize, sasa, kama yeye aliENDA kwenye hiyo solution it is another turn kwake kutekeleza anachohubiri, round table again na Kagame and watafute solution kwenye round table sio kutishiana, kwa sisi wananchi wa kawaida tunaoshabikia vita, kwanza hatuna kumbukumbu juu ya athali za vita! Kwa wenye umli kidogo mnakumbuka vita na uganda na athali zake, nadhani ni mpaka leo! Sasa tukiOpt Vita mjue hata wajukuu zetu wataifill pinch! Open up your eyes men! Msiwe waropokaji tuu!
 
La kuombea radhi lipi? Rais wetu haombi radhi ng'o. Ninyi mnasema aliyepewa ushauri huo ambao hauna hata tusi moja ndani yake ana haki ya kutoa matusi na vitisho alivyotoa? Ushauri hujibiwa kwa matusi na vitisho? Alishindwa nini kukataa tu ushauri na yakaishia hapo? Kagame ni mgomvi na mshari. Yeye ndiye anayepaswa kuomba radhi kwa namna alivyojibu baada ya ushauri huo. Vinginevyo kama noma na iwe noma.
 
Hapo wewe unamshauri kikwete kuwa mnafiki nahisi pale ndo palikuwa penyewe.

Huwa kuna swali huwa najiuliza na sipati jibu, ilikuwaje wahutu kuuwa watusi wengi na hao watusi wakashinda vida dhidi ya wahutu? Kila kukicha anayeshitakiwa ni muhutu kwani kagame yeye aliingia madarakani bila kuuwa muhutu yeyoyote kweli? mwenye majibu sahii anisaidie.
 
he makubwa kwani ni ushauri tu hivi weunjua maana ya ushauri zu hujui sasa kikwete aombe kwa lipi mtu unaposhauriwa ni hiariyake kuchagua sasa kikwete ana kosa gani hapo hakama hmpendi ila ikweli uko pale pale Rwanda wana chuki binafsi
 
Harafu watu mnasahau source ya hii comflict ni nini! Jamaa i mean Kikwete alipropose Wanyaluanda vikundi hasimu wakae kwenye round table na wayamalize, sasa, kama yeye aliENDA kwenye hiyo solution it is another turn kwake kutekeleza anachohubiri, round table again na Kagame and watafute solution kwenye round table sio kutishiana, kwa sisi wananchi wa kawaida tunaoshabikia vita, kwanza hatuna kumbukumbu juu ya athali za vita! Kwa wenye umli kidogo mnakumbuka vita na uganda na athali zake, nadhani ni mpaka leo! Sasa tukiOpt Vita mjue hata wajukuu zetu wataifill pinch! Open up your eyes men! Msiwe waropokaji tuu!

Wewe ndo mropokaji...hakuna anayetaka vita. And ask yrslf, kwann haya yote hayakutokea kbka kagame hajamkashifu Mh Rais Kikwete? Nyie watutsi ni watu wabaya sana. We know u inside out... hakuna kuomba radhi pale isipohitajika..
 
Wewe unaonekana huna hata chembe ya diplomatic heart, wenzio wanadiplomasia kuomba radhi ni chorus of a day, Kikwete ni mmojawapo!

Sio kila jambo ni la kuomba radhi.. Rais Kikwete aombe radhi kwa lipi sasa? Nyie watutsi mnachosha sana. Na nyie kawaombeni radhi wakongo mnaowaulia ndugu zao kila siku huko mashariki ya Kongo!
 
njia zote mbili si sahihi, kutishia mtu aliyetoa ushauli pia si sahihi! Lakini pia our president inatakiwa aombe ladhi! Au kwenye urais hamna u gentlemen?

"Our president" aombe radhi! Unamzungumzia nani? Mh Rais Kikwete? Kwn ww ni Mtanzania kweli?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom