Hivi hii awamu ni sera zinazotekelezwa ni zile zilizoahidiwa mwaka 2020 za viwanda au ni utalii. Hivi upande wa bajeti ya utalii ni ileile iliyopitishwa au iliongezwa...
Wakuu ninaswali tafadhali. Nikijaribu kuingia leo mfumo wa ajira Tamisemi nakuta account yangu blocked (user account blocked) na nilikuwa hapo muda si mrefu( login)
1) Je ni suala la kimtandao ama nimekula pini
2) je muda umeisha wa kuomba ajira ( dirisha limefungwa)ndiyo huandika hivyo?
3) je...
Sina wenge mkuu kulikuwa na hizi za kujitolea mkuu. Ndyo maana nikauliza kuwa imefungwa kwangu tuu nikimaanisha niko blocked ama ni dirisha limefungwa mkuu. Rejea swali mkuu
Wakuu ninaswali tafadhali. Nikijaribu kuingia leo mfumo wa ajira Tamisemi nakuta account yangu blocked (user account blocked) na nilikuwa hapo muda si mrefu
1) Je ni suala la kimtandao ama nimekula pini
2) je muda umeisha wa kuomba ajira ( dirisha limefungwa)ndiyo huandika hivyo?
3) je ikiwa...
Wakuu ninaswali tafadhali. Nikijaribu kuingia leo mfumo wa ajira Tamisemi nakuta account yangu blocked (user account blocked) na nilikuwa hapo muda si mrefu
1) Je ni suala la kimtandao ama nimekula pini
2) je muda umeisha wa kuomba ajira ( dirisha limefungwa)ndiyo huandika hivyo?
3) je ikiwa...
Pia siamini asilimia 70 kwani wenzetu huwa wanakuwa na long term plan. Anaweza kuwa alimuita jamaa room then akamtoa kwa style ya kuchukua condom ili lengo litimie baadae. Kwakuwa ni long term plan mtu huwa na mipango ya muda mrefu ila anajua kwa baadae ataika lengo lake. Mfano anajua kuna...
Asee kupitia huu ujumbe nagundua you are the best..... Ila umesahau kuwa hakuna kama wewe na kamwe hautakuwa kama wao. Hivyo ujue wewe ni special na wengi tunapenda ulichonacho hasa huo uspecial wako. Jiangalie kwenye kioo halafu fumba jicho moja huku ukitembea kwa madaha halafu simama kisha...
Wakuu naomba kuuliza... Nimesikia kuna wimbi la nne linakuja na kwa wenzetu jirani nmeskia leo kwenye chombo kimoja kuwa kimeaza.
1) je kutakuwa na chanjo yake nyingine? Kama itakuwepo chanjo nyingine je tutachoma ngapi kam vnaendelea??
2)kama ni kinga hiyo moja why linakuwa wimbi la pili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.