Tumie mabenki mobile money ni gharama kubwa sana watu hamjui tu ukipiga hesabu unatumia hela nyingi sana kwa mwaka kuliko ata kulipia ada ya chuo kikuu kwa mwaka chukua mda kidogo tu alafu uangalie
Anadai na simu pia iliporwa pamoja kwenye ilo beg aliwasiliana nae vipi kwa haraka kiasi hicho na je mda huo si bora angeenda mwenyewe bank kuripoti kuliko kumtuma mtu tena mtu watatu acheni mzaha
Bei ifike ata 150.000 sawa tu mkulima apate angalau make pembejeo bei juu gharama ya kulima ni kubwa sana serikali haitoi ruzuku wewe unaetaka bei ipungue ujui gharama za kilimo wewe mbona cement nondo mabati misumari nk imepanda bei hampigi kelele zipungue bei? Mmezoea kumlalia tu mkulima kila...
Mitandao yote sasa hivi ni wapigaji mimi mwenyewe nilikua halotel na line ya Chuo wakaniambia sujajiunga parkage yoyote wakati iyo naitumia zaidi ya mwaka ikabidi niahamie ttcl saafi sana kwa tshs 5000 unapata 4.4 GB mwezi mzima kwa line ya chuo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.