Recent content by Abel edward otieno

  1. A

    Hii video inayosambaa mitandaoni kuhusu Corona Moshi ni ya kweli?

    Ata nzige kwetu hazikufika zilifika tu kenya Uganda nk kwa Tanzania wala ila BBC wana sema ata Tanzania zilifika pia unajua ninachomaanisha?
  2. A

    Kocha wa Arsenal FC, Mikel Arteta akutwa na Ccorona (covd 19)

    Na mchezaji wa Chelsea odoi nae tested positive
  3. A

    Vodacom Tanzania ni wezi

    Tumie mabenki mobile money ni gharama kubwa sana watu hamjui tu ukipiga hesabu unatumia hela nyingi sana kwa mwaka kuliko ata kulipia ada ya chuo kikuu kwa mwaka chukua mda kidogo tu alafu uangalie
  4. A

    NMB wamekataa kupokea taarifa ya kuzuia miamala baada ya kadi ya benk kuibiwa matokeo yake wahalifu wamefanikiwa kutoa pesa

    Anadai na simu pia iliporwa pamoja kwenye ilo beg aliwasiliana nae vipi kwa haraka kiasi hicho na je mda huo si bora angeenda mwenyewe bank kuripoti kuliko kumtuma mtu tena mtu watatu acheni mzaha
  5. A

    Mfahamu mnyama ISHA

    We utakua chambu
  6. A

    Rai: Serikali isitishe uuzaji nafaka nje ya nchi: Hali siyo shwari, Gunia la mahindi limefikia 100,000/= kanda ya Ziwa.

    Bei ifike ata 150.000 sawa tu mkulima apate angalau make pembejeo bei juu gharama ya kulima ni kubwa sana serikali haitoi ruzuku wewe unaetaka bei ipungue ujui gharama za kilimo wewe mbona cement nondo mabati misumari nk imepanda bei hampigi kelele zipungue bei? Mmezoea kumlalia tu mkulima kila...
  7. A

    Kuhusu mifuko inayoitwa "Shangazi Kaja"

    Kwetu yanaitwa mabegi ya ukerewe
  8. A

    Nina bifu kali na Makonda lakini kwa suala la marehemu Ruge mnamuonea bure, nipo kumtetea.

    Ungekaa kimya acha kuongelea mtu asiekuwepo tena duniani haisaidii
  9. A

    Mtandao wa Vodacom Tanzania kwaherini nahamia TTCL

    Mitandao yote sasa hivi ni wapigaji mimi mwenyewe nilikua halotel na line ya Chuo wakaniambia sujajiunga parkage yoyote wakati iyo naitumia zaidi ya mwaka ikabidi niahamie ttcl saafi sana kwa tshs 5000 unapata 4.4 GB mwezi mzima kwa line ya chuo
  10. A

    Ndugu zangu wasanii mnalia hadi mnakufuru

    Ushasema ni wasanii wanafanya usanii wao ova
  11. A

    TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    Labda kupitia kwa balozi wetu wa Africa kusini
Back
Top Bottom