Mfahamu mnyama ISHA

Mfahamu mnyama ISHA

Hawa viumbe walitutesa sana kipindi cha shule ya Msingi. Yaani tunawawinda kuanzia sa4 asubuhi ni kukimbizana tu hadi jioni na hatuwapati tunaishia kuua Makenge tu daah.
🤣🤣🤣🤣🤣 nyie mlidhani ni kuku hao??? Kinachoweza kumkimbiza kikampata huyo ni Simba,Chui,Duma ama risasi!
 
Urefu=Isha mkubwa hufikia urefu wa sentimita 70 hadi 95.

Kimo= kimo cha isha hufikia sentimita 45 hadi 60.


Uzito= wanyama hawa huwa na uzito wa kilogramu 7 hadi 16.
Rekebisha hivyo vipimo vinaweza kuwa haviko sawa
 
Back
Top Bottom