Mamlaka ya hali ya hewa ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Miezi iliyopita mlitueleza kuwa kutakuwa na mvua mikoa ya Dar, Morogoro na mikoa ya Kanda ya Ziwa na kutakuwa na mvua mwisho wa Februari na mwezi wa tatu. Mpaka sasa hasa kanda ya ziwa kuna ukame unaondelea. Ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?.
 
Miezi iliyopita mlitueleza kuwa kutakuwa na mvua mikoa ya Dar, Morogoro na mikoa ya Kanda ya Ziwa na kutakuwa na mvua mwisho wa Februari na mwezi wa tatu. Mpaka sasa hasa kanda ya ziwa kuna ukame unaondelea. Ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?.
Mkuu unawaamini hao mamlaka ya hali ya hewa
 
kwa bahati mbaya iliamia pwani ya msumbiji uko imekuja na kimbunga na kuua, pia imeleta maafa makubwa

ili jua unaloliona dar ndo dalili ya mvua yenyewe mawingu yakisukumwa huko yanapotoka yanachemshwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi iliyopita mlitueleza kuwa kutakuwa na mvua mikoa ya Dar, Morogoro na mikoa ya Kanda ya Ziwa na kutakuwa na mvua mwisho wa Februari na mwezi wa tatu. Mpaka sasa hasa kanda ya ziwa kuna ukame unaondelea. Ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?.
Kagera inanyesha
 
Miezi iliyopita mlitueleza kuwa kutakuwa na mvua mikoa ya Dar, Morogoro na mikoa ya Kanda ya Ziwa na kutakuwa na mvua mwisho wa Februari na mwezi wa tatu. Mpaka sasa hasa kanda ya ziwa kuna ukame unaondelea. Ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?.
Labda alimaanisha Bukoba.Bukoba mvua hazijawahi kipumzika Tangu Agost mwaka jana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi iliyopita mlitueleza kuwa kutakuwa na mvua mikoa ya Dar, Morogoro na mikoa ya Kanda ya Ziwa na kutakuwa na mvua mwisho wa Februari na mwezi wa tatu. Mpaka sasa hasa kanda ya ziwa kuna ukame unaondelea. Ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?.
Huwa wanatoa utabiri wa hali ya hewa kwa saa ishirini na nne zilizopita
 
Miezi iliyopita mlitueleza kuwa kutakuwa na mvua mikoa ya Dar, Morogoro na mikoa ya Kanda ya Ziwa na kutakuwa na mvua mwisho wa Februari na mwezi wa tatu. Mpaka sasa hasa kanda ya ziwa kuna ukame unaondelea. Ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?.

Sio wa kuwa amini
 
MREJEO WA HALI YA HEWA WA DEKADI YA 8 (11-20 MACHI, 2019)

Taarifa hii inatoa tathimini ya mifumo ya hali ya hewa kwa sasa, muelekeo wa hali ya hewa
itakayoambatana nayo ya kipindi kilichobakia cha dekadi ya 8.

a)VIASHIRIA NA MFUMO WA MVUA

Katika kipindi hiki, migandamizo mikubwa ya hewa iliyopo kaskazini mwa dunia (Azore
na Siberia) inatarajiwa kuimarika wakati ile iliyopo kusini (St. Helena na Mascarene)
inatarajiwa kudhoofika. Hali hii inasababisha kupungua kwa msukumo wa hewa angani
kaskazini mwa Tanzania. Joto la bahari la chini ya wastani linatarajiwa kuendelea katika
eneo la magharibi mwa bahari ya Hindi hali inayotarajiwa kuzuia upepo wa kutoka
kaskazini- mashariki na hivyo kupunguza mvua katika maeneo ya kaskazini- mashariki.

Maeneo ya kusini- magharibi, joto la bahari linatarajiwa kuwa juu ya wastani hivyo
kusababisha kutokea kwa vimbunga baharini. Joto la bahari la wastani linatarajiwa katika
eneo la Kusini-mashariki mwa bahari ya Atlantiki (karibu na pwani ya Angola). Hali hii
haitarajiwi kusababisha mabadiliko makubwa ya mifumo ya hali ya hewa katika maeneo
ya magharibi mwa nchi.

Hali ya joto la juu ya wastani kwa sasa katika maeneo ya kusini- magharibi mwa bahari ya
Hindi imesababisha kutokea kwa kimbunga IDAI. Kimbunga hiki kimesababisha hali ya
ukavu katika maeneo ya kaskazini mwa nchi.

b) ANGALIZO: Maeneo yafuatayo yanatarajiwa kuendelea kukabiliwa na vipindi vya hali
ya ukavu.


Mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Morogoro, Kilimanjaro, Arusha na Manyara pamoja na
visiwa vya Unguja na Pemba.


Watumiaji wa taarifa za utabiri huu wanashauriwa pia kufuatilia utabiri wa saa 24, siku 10
pamoja na mwezi kama unavyotolewa na Mamlaka ya hali ya Hewa Tanzania.

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania itaendelea kufuatilia Mwenendo wa mifumo ya hali
ya hewa na kutoa taarifa za muelekeo wa mvua nchini.

Imetolewa na; MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
 
Miezi iliyopita mlitueleza kuwa kutakuwa na mvua mikoa ya Dar, Morogoro na mikoa ya Kanda ya Ziwa na kutakuwa na mvua mwisho wa Februari na mwezi wa tatu. Mpaka sasa hasa kanda ya ziwa kuna ukame unaondelea. Ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?.


Yawezekana mvua iliyotakiwa kunyesha imeelekezwa kwenye matumizi mengine.

Refer the 2016 solar eclipse event in Rujewa Mbeya
 
Miezi iliyopita mlitueleza kuwa kutakuwa na mvua mikoa ya Dar, Morogoro na mikoa ya Kanda ya Ziwa na kutakuwa na mvua mwisho wa Februari na mwezi wa tatu. Mpaka sasa hasa kanda ya ziwa kuna ukame unaondelea. Ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?.
Bukoba mvua zinayesha! Sijui Mwanza na mikoa mingine ya ziwa. Lakini lililowazi ni kuwa kuna ukame wa mkubwa! Mfano, Tanga , kila kitu kimekauka hasa Tanga mjini, Muheza.... kwa ujumla kuna ukame mkubwa!
 
Miezi iliyopita mlitueleza kuwa kutakuwa na mvua mikoa ya Dar, Morogoro na mikoa ya Kanda ya Ziwa na kutakuwa na mvua mwisho wa Februari na mwezi wa tatu. Mpaka sasa hasa kanda ya ziwa kuna ukame unaondelea. Ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?.
Ningekuwa rais ningifuta hii mamlaka, wanatumia hela za umma bure hakuna wafanyacho, bora tumlipe mtoto wa shehe yakhaya atusaidie kuliko huyu mganga bi Kijazi tapeli mkubwa
 
MREJEO WA HALI YA HEWA WA DEKADI YA 8 (11-20 MACHI, 2019)

Taarifa hii inatoa tathimini ya mifumo ya hali ya hewa kwa sasa, muelekeo wa hali ya hewa
itakayoambatana nayo ya kipindi kilichobakia cha dekadi ya 8.

a)VIASHIRIA NA MFUMO WA MVUA

Katika kipindi hiki, migandamizo mikubwa ya hewa iliyopo kaskazini mwa dunia (Azore
na Siberia) inatarajiwa kuimarika wakati ile iliyopo kusini (St. Helena na Mascarene)
inatarajiwa kudhoofika. Hali hii inasababisha kupungua kwa msukumo wa hewa angani
kaskazini mwa Tanzania. Joto la bahari la chini ya wastani linatarajiwa kuendelea katika
eneo la magharibi mwa bahari ya Hindi hali inayotarajiwa kuzuia upepo wa kutoka
kaskazini- mashariki na hivyo kupunguza mvua katika maeneo ya kaskazini- mashariki.

Maeneo ya kusini- magharibi, joto la bahari linatarajiwa kuwa juu ya wastani hivyo
kusababisha kutokea kwa vimbunga baharini. Joto la bahari la wastani linatarajiwa katika
eneo la Kusini-mashariki mwa bahari ya Atlantiki (karibu na pwani ya Angola). Hali hii
haitarajiwi kusababisha mabadiliko makubwa ya mifumo ya hali ya hewa katika maeneo
ya magharibi mwa nchi.

Hali ya joto la juu ya wastani kwa sasa katika maeneo ya kusini- magharibi mwa bahari ya
Hindi imesababisha kutokea kwa kimbunga IDAI. Kimbunga hiki kimesababisha hali ya
ukavu katika maeneo ya kaskazini mwa nchi.

b) ANGALIZO: Maeneo yafuatayo yanatarajiwa kuendelea kukabiliwa na vipindi vya hali
ya ukavu.


Mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Morogoro, Kilimanjaro, Arusha na Manyara pamoja na
visiwa vya Unguja na Pemba.


Watumiaji wa taarifa za utabiri huu wanashauriwa pia kufuatilia utabiri wa saa 24, siku 10
pamoja na mwezi kama unavyotolewa na Mamlaka ya hali ya Hewa Tanzania.

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania itaendelea kufuatilia Mwenendo wa mifumo ya hali
ya hewa na kutoa taarifa za muelekeo wa mvua nchini.

Imetolewa na; MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

Matapeli wakubwa ninyi mfutiliwe mbali
 
Miezi iliyopita mlitueleza kuwa kutakuwa na mvua mikoa ya Dar, Morogoro na mikoa ya Kanda ya Ziwa na kutakuwa na mvua mwisho wa Februari na mwezi wa tatu. Mpaka sasa hasa kanda ya ziwa kuna ukame unaondelea. Ninauliza ile taarifa yenu mbona hatupati mrejesho tena?.

Wanatabiri kwa kutumia tunguri hao hawan jipya
 
Back
Top Bottom