Recent content by abego

  1. abego

    Hivi kuna mtu bado anawaza au kuamini kua mvua hii inayonyesha Dar es salaam ni neema au mipango ya Mungu?

    Write your reply...iwe neema iwe maafa ila mvua Allah NDIYE hunyeshesha Kama alivosema katka kitabu chake kitukufu qur an "annaaswababnalmaa aswabba,"sisi ndie tunateremsha maji kwa kiasi," hoja yangu ni kuwa iwe mvua haiitajiki ikanyesha Au inahitajika ikawa hainyeshi iwe ni neema Na...
  2. abego

    Mwanaume kama una tabia hii acha mara moja

    Write your reply...lau ungesema sipoa mtu kula yungali unatembea ningekuunga mikono na miguu ila sio Ivo by the way nimeachaga kula big bom maana washkaji hawaielewi kabisa isee
  3. abego

    Siku za mwanadamu kuishi hazijapangwa na Mungu, bali utakufa kutokana na kazi na mazingira yako.

    Write your reply...AWALI ya yote ningependa kuku weka ktk makundi matatu 1/wewe Ni mkristo 2/wewe Ni muislamu usiejua uislamu wako 3/wewe huna dini/Na unawasiwas juu ya uwepo wa mungu Na nini kasema nikizungumzia nukta ya 2 muislamu anaamini kaumbwa atakufa atafufuliwa hatokufa tena...
  4. abego

    Siku za mwanadamu kuishi hazijapangwa na Mungu, bali utakufa kutokana na kazi na mazingira yako.

    Write your reply...AWALI ya yote ningependa kuku weka ktk makundi matatu 1/wewe Ni mkristo 2/wewe Ni muislamu usiejua uislamu wako 3/wewe huna dini/Na unawasiwas juu ya uwepo wa mungu Na nini kasema nikizungumzia nukta ya 2 muislamu anaamini kaumbwa atakufa atafufuliwa hatokufa tena...
  5. abego

    Siku za mwanadamu kuishi hazijapangwa na Mungu, bali utakufa kutokana na kazi na mazingira yako.

    Write your reply...AWALI ya yote ningependa kuku weka ktk makundi matatu 1/wewe Ni mkristo 2/wewe Ni muislamu usiejua uislamu wako 3/wewe huna dini/Na unawasiwas juu ya uwepo wa mungu Na nini kasema nikizungumzia nukta ya 2 muislamu anaamini kaumbwa atakufa atafufuliwa hatokufa tena...
  6. abego

    Waislamu hawawezi kugusa Hawa watu wanapita mbali

    Write your reply...la sivyo bloo uislamu hauko uhisivyo Na mihemko yako, ukizungumzia China/India usikompee Na nch za ulaya ushawahskia China kaenda kulipua pkstn Au Iraq nk mbona tz tupo waislamu Na hakuna izo vitu buda why viwepo Kenya visiwepo Madagascar anataka maanisha Kenya Ni mpole than...
  7. abego

    Hazbullah Israel atakula kichapo, asubiri tu

    Write your reply... khalgraph hiyo c maana ya hizbullah/Hezbollah/hizbollah ilo neno la kiarabu asli yake Ni hizbiyyah ,so kuandikwa kwake si ishu but kutamkwa kwake sawa tu,hizb maanake Ni jeshi Na ukisema hizbullah yaani limeungwa hizbu +Allah =hizbullah it means jeshi la Allah,
  8. abego

    Tetesi: Ukweli wa Madeni ya TZ na Kushikikiwa kwa Ndege ya ATCL Huu Hapa

    Write your reply...ishaurini serikali ismamie vizur mauzo ya korosho msimu huu ili innue ndege zingine
  9. abego

    Sheikh Ponda: Sakata la Uamsho - Inatosha

    Write your reply...miaka Tisa huioni family yako mkabala miaka unknown hujui uko hai Au umekufa
Back
Top Bottom