Charge ndyo tatizo mkuu, tatizo sio bundle! Pia kumbuka kuna watu hawana kazi kwenye baadhi ya groups wanna chat muda wote, hivyo wanasumbua. Nibora uwashe data muda ambao utatumia/kusoma message na emails
Ni wakati wa serikali kuanza kuwatumia wakandarasi wa ndani kwani hata wao wakiwezeshwa wanaweza kujenga miundombinu yenye ubora na pale wanapohitaji msaada kutoka nje wakandarasi wetu wawe na uwezo wa kuajili wataalam hao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.