NIMESOMA MTONI KWA MAMA MARY 1989-95. Enzi za mwl baraka alikuwa kilema au ana mguu bandia. Mwl mkuu mchera. Tukicheza mpira wa kitenesi bwaloni. Shule binafsi, lkn darasa la kwanza na la pili, tulikuwa tunakunywa chai ya bure ya shule. Nimesoma na jamaa zangu wakina masudi, (alikuwa mweupe...
WE HAUNA UTASHI JUU YA HAYA MAMBO. JIULIZE KWANINI WAISRAEL WALIMRUDISHA MADARAKANI NETANYAHU? LEO HII MAREKANI WANAMTAKA TENA TRUMP ASHIKE MILANGO YA IKULU.
Ahsante kwa history tamu. Naomba kuelimishwa. mji wa Kunduchi bd upo hata sasa. tTndwa imebadili jina na kuwa Upanga, mbwamaji imekuwa mji gani kwa dunia ya sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.