Recent content by abdulrahman Said

  1. abdulrahman Said

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama yangu amenipeleka kwa mganga

    Wewe na mamaako wote hamjielewi
  2. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Hili swali nimejiuliza sana! Wakati mwingine inanifikirisha sana hata kuanza kujudge uwezo wa kufikiri wa waalimu wetu, mdogo angu kila siku anabeba daftari zaidi ya 10 pamoja na vitabu nikimuuliza kwanini anasema Mwalimu x kasema madaftari yake yote kuanzia form 1 tuwe tunabeba (sasa yuko form...
  3. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Mtu Mwenye fikra finyu pekee ndo anaweza kusema wakenya wanaharibu nchi yao

    Toa hoja, acha kujibizana kama mtu asiye na kichwa. Shida yenu wanaharakati wa online ni kujiona mko smart kuliko wengine, Mwenzako kaweka hoja zake na wewe weka zako.
  4. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Fizikia na Hesabu ni rahisi, kwanini watu wanaona ni ngumu?

    Ukiangalia tu jinsi anavyojibu hoja zako utagundua una-argue na mtu wa aina gani. Unaweza kupoteza nguvu kumbe unabishana na mtoto wa form-4. Umemuelewesha na bado amepinga bila kuja na hoja za msingi. Ni Ego na utoto ndo unamsumbua
  5. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Fizikia na Hesabu ni rahisi, kwanini watu wanaona ni ngumu?

    Huwezi kucare kwasababu hakuna kitu unafahamu Young man. Nikupe tu a little story, in Engineering watu wanaface lots of problems ambazo simply no matter how strong our Math skills we can't solve them analytically badala yake we let Numerical computations and Computer to help us estimate the...
  6. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Fizikia na Hesabu ni rahisi, kwanini watu wanaona ni ngumu?

    This is a problem of allowing Kids to touch Men's work. Stupid!
  7. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Fizikia na Hesabu ni rahisi, kwanini watu wanaona ni ngumu?

    Ukishaanza kudai Physics ni rahisi, basi hakuna unachoelewa kwenye physics bali unakariri. Ilichukuwa almost 20 Years kutokea mtu wa kwanza aliyekuja kuelewa completely equations za Maxwell achilia mbali hizo, unazifahamu Navier-Stokes equations? Haya, The general Unified Field Theory ambayo...
  8. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Unaweza kupata kazi na ajira za Freelancing Bila Kutegemea Upwork au Fiverr.

    Mkuu, Nilifungua upwork kama observer account na sikuregister njia yoyote ya payment. Huu mwaka nataka nianze kuifanyia kazi, kwenye kuregister payment nimechukuwa ambayo ilikuwa recommended pale, payoneer, sasa kwenye kupata verification code kwa namba ya simu niliyoweka ndo imekuwa mtiti...
  9. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania ChatGPT ameshindwa hili swali: Tuwaone wanafunzi wa siku hizi mnaweza ?

    Wewe umelitafuta Youtube ila mdgo angu alihitaji dakika 5 tu
  10. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania ChatGPT ameshindwa hili swali: Tuwaone wanafunzi wa siku hizi mnaweza ?

    Didn't bother doing it, just gave it to my 16 YO sister and she just needed 5mins
  11. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Kumuamini Mungu bila kumuamini Mtume wake Mohamed ni kazi bure kabisa

    Subhanallah, Mwenyezi Mungu akullipe unachostahili
  12. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Waislamu wanaamini Yesu wao atakuja kuhukumu binadamu, je atafanya hivyo kama nani na mamlaka yapi

    A bit off topic, sipo kwenye hii mada ila kwa hii hoja yako hata Ukristo unaingia pia kama ndiyo ilikuwa point yako kuutetea. Fuatilia Historia ni kwa jinsi gani Ukristo ulienezwa halafu linganisha na Uislamu ndo utajuwa dini gani ilimwaga damu nyingi kwa kigezo cha kutangaza neno la Mungu...
  13. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Why can't this guy coexist peacefully with others

    Umekaa kiushabiki zaidi kuliko kutoa hoja! Anyway, I am out. Huwa sishiriki mijadala kama hii mimi
  14. abdulrahman Said

    JamiiForums Tanzania Why can't this guy coexist peacefully with others

    Hoja yako inashangaza sana, statistically wanaoongoza kwa kupiga hizo unazoita kelele ni Christians. Mimi nipo ubungo, mtaani kwetu kuna kanisa hapa weekend nzima kuanzia asubuhi mpka usiku ni kukesha na kuimba nyimbo za kuabudu na wanafungulia maspika unasema msikitini kitu ambacho hata saa...
Back
Top Bottom