Unaishi mkoa gani?kuna mti wa matunda kanda ya ziwa unaitwa masungwi haya ni matunda ni mwisho kijana unayachukua kama moja unalichoma kwenye moto linatoa maji unaweka matone mawili inawasha na kuuma ila baada ya hapa utasimuliaga tu
body ya mikopo walichonifanya najua na Mungu hakika niuonevu wa hali ya juu kwa kweli asilimia 15% imekula kwangu afadhali ingekuwa kostant basi kila mshahara ukiongezeka mkopo nao unazidi kujitanua hataree hii!
sio siri river camp siwaelew hip pop yao kabisa mfano wimbo wa nusunusu sijawaelewa wapo madogo wanakinukisha bhana watoto wa kijenge juu na kijiti,G-nako naye kwenye hippop karibia tunampoteza,wapi ile mtu anaitwa Loon alifanya kolabo na ibra da hustler,mapacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.