1. Build a Niche Blog (or Website) and Use Affiliate Marketing
2. Launch and Grow a Startup
3. Build and Sell Software
4. Start an eCommerce Site and Sell Physical Products
5. Find Freelance Clients and Sell Your Services
6. Start Online Coaching and Sell Your Advice
7. Create Online Courses to...
Umenikumbusha tukio moja sitosahau ilikua usiku kama saa tano tunatembea kwa miguu na mgeni nilietoka kumpokea kutoka kijijini tukiwa tunatembea ghafla akakatiza nyoka mbele yetu akitoka upande mmoja kwenda mwingine nikaingia na taharuki hata mawe sikuyaona nilipogeuka nyuma ili nipate hata jiwe...
Sijasema awe na roho mbaya don't quote me wrong. Ila jamaa mm nimemuona mpole sana hivi ww unaweza anavyoweza mleta mada? Mtu anakwambia hakutaki wewe upo tu mtu ana mtu wake na hakufichi upo tu anakwambia bhana jaribu kunisahau anakuja kulalalamika hawezi ameshajaribu sana ameshindwa ww unataka...
Honestly hiyo Hali ya kuwafanya wanaume wateseke kwenye mapenzi mm sijakutana nayo na siombei initokee mara zote nimekua nikiumiza wanawake sio kuumizwa japo siku hizi siwaumizi tena nimeshakua ila nilichokuja kugundua kwenye ukuaji wangu wanaume ambao huwa hawajali sana ndio hupendwa sana...
Siombei yanitokee na kwanza sio mpenzi wa wake za watu ila likinikuta hilo kwa namna yoyote ile ndio watakua wamenibadilisha roho heri kufa nao kuliko kufa peke yangu nitapotea kwanza hawatojua nimeelekea upande gani wa dunia siku nitakayoonekana ni mahakamani kukiri kosa la mauaji au kuuliwa na...
Kuwa kikosi cha zima moto Paris ni bora kuliko kuwa mwanajeshi Mali huko Paris atashinda miezi mshahara ukiingia bila kazi zaidi ya ku sign in na kusign out akirudi Mali atajuta. Ningekua mm hata uniwekee bastola kichwani sirudi bob.
Jamaa anajua kujichanganya ukikaa nae dakika tano utasahau kama upo na kiongozi na utagundua how intelligent he is watu wote kwake sawa sio mkristo sio muislam sifa zake ni nyingi siwezi maliza zote, I like him. Mungu amsaidie aje awe raisi.
Mnaacha mashoga mnacharaza viboko wanaovaa suruali za kubana na wanaonyoa viduku hii sio ya kufurahia hata kidogo. Kunyoa kiduku sio ushoga wala kuvaa suruali ya kubana sio ushoga nani ametoa hilo wazo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.