Nimepata kusikia story hii kwa muda mrefu, mwisho leo nimeona mahali pameandikwa kwamba nyoka amgonga mtoto mdogo baada ya wazazi kutaka kumuua nyoka huyo, inasemekana nyoka huyo alikuwa akicheza na mtoto kwa muda kabla hata wazazi kugundua kuwa alikuwa akicheza na nyoka
lakini ghafla wazazi...
Kuna tofauti kubwa katika function ya kuprint Na copy Na kwa njia rahisi ukitaka Kujua printing inatumia wino mwingi kuliko copy ni pale unapoprint background picture/text ukiprint ni dhahiri background itatokea vzuri lakin ukitoa kopy Haitotoka hiyo background hili watalifahamu wenye uzoefu wa...
Aisee nimesoma kwangu tauni huko mchikini nilikuwa nakusikia tu,Siku ambayo niliamua nianze kwenda kusoma ndio Siku ambayo pindi lilihairishwa si kwenda tena mpaka namaliza shule
We Jamaa ndo msemaji wa white state,mbna unatetea mno kauli za udgalilishaji hivyo,inahtajka uchukie hata awe hajasema au amesema,kiongozi mkubwa kama yule haitajiki kusikika tetesi za kijinga kama zile,hv husomi vitabu vya dini kwamba bwana kaesar alimuacha mkewe kwa tetesi ya uzinifu,ijapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.