thegeniustzda
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 211
- 359
mjuaji afundishwi sasa mbona ww jamaa uajua lkin unauliza
ni stationeryDocument linakuwa lishakuwa typed, mtu akifika stationary ni kuprint tu
PHOTOCOPYING : ni kitendo cha kutoa nakala yenye kufanana na nakala halisi.photocopy
lamination
binding
ndio nn wakuu mimi sielwagi kabisa
Hapa nmepata mwanga.. binding ndio kama kutumia pnch mashine kutobolea makaratasi afu unaweka kwenye file??[emoji16][emoji16]PHOTOCOPYING : ni kitendo cha kutoa nakala yenye kufanana na nakala halisi.
Mfano: unapotoa kitambulisho chako kwaajili ya kusajili line.
PRINTING: ni kitendo cha kuhamisha nakala ya maandishi au picha kutoka kwenye kifaa mfano flash na kuiweka katika mfumo wa nakala halisi ya karatasi.
Mfano. Unapopiga picha ikiwa kwenye camera/simu hiyo inakua ni soft copy, ukifanya printing ndio unapata picha yako halisi ambayo unaweza kuweka hata kwenye album.
LAMINATION: ni kitendo cha kuweka cover juu ya nakala flani.
Mfano kitambulisho au cheti chako unaweza kifanyia lamination ili kidumu zaidi hata kikiingia maji kisilowane au kuchanika.
BINDING; ni kitendo cha kuchukua nakala tofauti tofauti na kuziweza pamoja katika utaratibu mzuri kwaajili ya kusaidia utunzaji wa kumbukumbu kwa urahisi.
Mfano. Unapochukua mitihani yako na kuiweka pamoja katika sehemu maalumu na kuzibana kwa kutumia stepler.
Sasa kama unaweza kuja na computer yako ili upunguziwe bei, stationery wameweka za nini na biashara wanafanyaje! Inachosema ni sawa na kwenda na mboga yako cafeteria ili upunguziwe bei ya ugali.Kuna wengine wanakujaga na laptop zao ila bei ya kuprint ni ile ile
Hapa kiuhalisia huwa ni kinyume.Wanasema wino unaotumika kwenye printing huwa mwingi kuliko wa copying
Huu uongo, Mungu hapendiStationery nyingi zinatumia photocopy mashine za canon image runner series, Hizo mashine zinaingiliana sana drivers aendapo mtu akiwa ameinstall
Sisi ofisini kwetu tulishakuwaga na kaprinter kile kina print tu hakitoi kopi. Maajabu yake ilikuwa ukichomeka computer yoyote ile kinaprint. Hakikuwa na makuu sijui driver sijui u-install nini!Acha kudanganya. Laptop yako iwe na drivers za printa ya kwenye steshenari?