Recent content by Abdulhalim

  1. Abdulhalim

    Kama Mwendokasi imewashinda wapeni JKT waendeshe!

    Next stop mtatuambia bwana la Nyerere mbinafsishe. Basi si tumuite tu mjeremani arudi atutawale upya. Huu ni uzuzu.
  2. Abdulhalim

    Kama Mwendokasi imewashinda wapeni JKT waendeshe!

    tatizo ni mtaji au maarifa? kama tatizo ni maarifa basi mavyuo yote haya Tanzania tuyafunge maana hayatoi maarifa yanayotakikana kulingana na mahitaji ya dunia ya sasa. Kama shida ni mtaji mbona watz tunaweza kujichanga tukanunua hisa za kampuni tukaservice manunuzi ya mabasi customized yenye...
  3. Abdulhalim

    Wanawake wanaofanya kazi kwenye migahawa midogo midogo mazingira yao ya kazi siyo rafiki

    lkn the bright side wengine humohumo esp madomo zege hupata wenza hata wa kusogezea siku..
  4. Abdulhalim

    Kwa alichopost Stamina anajiona katoboa, anatudharau

    naona muanzisha uzi kala umeme (ban). watu wana stress sana skuizi :)
  5. Abdulhalim

    Nitawashangaa BASATA wasipomfungia ZUCHU hata miaka mtano kwa Uchache

    hatari sana. labda anatumia mihadarati huyu binti
  6. Abdulhalim

    Nyumba ya Dudley Mbowe kupigwa mnada kwa kushindwa kulipa Sh milioni 62.7 za waandishi

    Tarehe 30 February sio? chadem mnachekesha sana yani!
  7. Abdulhalim

    Baba Levo adai kushambuliwa na Harmonize

    duh mwanaume unaacha kupambana kiume eti unaandika kabisa kuwa umeshambuliwa! yaani umebondwa kama ngoma!
  8. Abdulhalim

    Arobaini ya Simba wa Vita leo: Amaizing Coincidence!

    "Mzee mpaka leo ukikutana na EL utaiona smile usoni inayokuwa betrayed ya macho yanathibitisha donge moyoni."..unquote!
  9. Abdulhalim

    Muujiza wa hesabu ndani ya Qur-an

    Hamia tu huko, wacha kuitesa nafsi yako.
  10. Abdulhalim

    Muujiza wa hesabu ndani ya Qur-an

    Duh hatari. Umenikumbusha kitambo sana mambo ya Waraq ibn Nawfal.
  11. Abdulhalim

    Serikali kulipa mabilioni mengine kwenye kesi ya kubumba. Nani ni wanufaika wa huu ufisadi wa kalamu?

    mnufaika kivipi tena? kwn uzi unahusu nini? watu mna maagenda yenu lakini nakumbusha tena, sio kila mtz ni mjinga asiyejielewa!
  12. Abdulhalim

    Profesa Janabi apuuzwe!

    hivi huyu jamaa ana umri gani?
  13. Abdulhalim

    Serikali kulipa mabilioni mengine kwenye kesi ya kubumba. Nani ni wanufaika wa huu ufisadi wa kalamu?

    Jikite kumtafuta mnufaika bradha. acha kurukaruka kama malage yanayoivishwa..
  14. Abdulhalim

    Serikali kulipa mabilioni mengine kwenye kesi ya kubumba. Nani ni wanufaika wa huu ufisadi wa kalamu?

    Aliowaita hawa Indiana ndio mnufaika mwenyewe, mtafuteni mtamjua achaneni na nadharia za abunuasi eti awamu ya tano! msifikiri sisi sote ni wajinga.
Back
Top Bottom