Recent content by abdallahtase

  1. A

    Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

    achana na huyo jamaa kabisa, kama unatambua heshima yako ilipo basi ilinde kwa nguvu zote.Maana ikidondoka huwezi kuirudisha tena. Kuwa imara wewe mwanamke, onyesha msimamo wako kwa kiakili kinyume na hisia zako mwamwimbe huyo jamaa HAITAWEZANA.
  2. A

    Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Kwani Mkuu wa idara ya habari na Maelezo.... Sio Mwana usalama?
  3. A

    Lissu upo wapi sheria ya uhuru wa vyombo vya habari inakandamizwa?

    Linaloendelea katika mjadala kuhusu uvamizi wa Clouds na Serikali kuwa na kauli tofauti. Nahitaji kusikia ukweli na sheria kutoka kwa Rais wa chama cha wanasheria. Huwa napenda kumsikiliza Lissu hasa katika mambo tata.
  4. A

    Nape wa enzi za JK na kampeni za 2015 siyo huyu Nape wa sasa

    Nape ameonesha uongozi bora kwa vitendo........Jambo ambalo tunalihitaji watanzania kwa kipindi hiki.
  5. A

    Rais wetu amelewa madaraka, amesahau kuwa yeye ni Rais wa Watanzania

    nimeamini Tanzania ya asali na maziwa ni ndoto ya mchana..........
  6. A

    Meya wa Jiji la Dar: Kupanda kwa tozo za maegesho si dhambi

    Wapendwa, naomba mnijuze juu ya majibu ya Mstahiki Meya juu ya viwango vya malipo ya maegesho ya magari maeneo mbalimbali jijini. Maana waliopewa zabuni wanakomaa Tsh. 500.00 kwa kila saa moja. sasa hichi kiwango ndiyo tayari kimeshapitishwa na Halmashauri? Nakumbuka aliahidi kutoa taarifa na...
  7. A

    Magari ya kubeba watoto wa shule

    Habari zenu wana Jamvi.... Nimeleta mada hii mbele yenu kutokana na kero ninayoiona kwa shule za awali na Msingi ambazo zinaitwa " English Medium " Na kero hii si nyingine bali ni UBOVU wa magari ya kusafirishia watoto kwenda shule na kutoza gharama kubwa katika huduma hiyo ya usafiri. wakati...
  8. A

    Serikali baada ya uhakiki wa watumishi hewa kuisha litaanza zoezi la kupanga mishahara upya

    Nimesoma gazeti la habari leo likiwa na habari kuu ukurasa wa mbele " MISHAHARA YA WATUMISHI KUPANGWA UPYA" Ninavyotambua dhana ya kupunguza matumizi na kilichoandikwa ndani kwenye habari kamili napata mkanganyiko. Naombea iwe kweli na ipangwe upya kwa kuongezwa sio kupunguza ili wafanyakazi...
  9. A

    Uzalendo na kuipenda nchi

    Mambo mengi mabaya yanayotokea na ukosefu kushindwa kupiga hatua katika maendeleo kama nchi ukiwauliza viongozi wa taifa, Viongozi wa siasa, na wasomi utawasikia miongoni mwa sababu nyingi wanazozitoa moja wapo itakuwa ni kukosa Uzalendo na kuipenda nchi. Uzalendo ni nini?, ni nani ana wajibu wa...
  10. A

    Hivi kuna ubaya gani kurudi katika misingi iliyo asisi taifa hili.

    Msingi mkuu upo katika Azimio la Arusha " ITIKADI YA SIASA YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA. Dalili ya kuwepo kwa msingi huu imepotea hivyo kila zama baada ya Mwl. Nyerere zinakuja na itikadi mpya tofauti na mwelekeo alioukusudia. Ninaamini Rais wetu ana nia njema kuturudisha katika misingi ya miiko ya...
  11. A

    Je, gharama ya ugeni ulioambatana na Mfalme wa Morocco ni yetu au yake?

    Vitanda vya huku vina kunguni? au mbwembwe zao..............Huo ni udhalilishali. Mgeni akija kwa na kitanda utamtafsiri vipi? Wakiondoka wanaviacha au
  12. A

    Nimekuta chupi ya mke wangu chumbani kwa mdogo wangu wa kiume

    Huyo panya anaeiba chupi tu na si kitu kingine, na kuipeleka chumbani kwa dogo na si sehemu nyingine. Anahitaji sumu kali sana maana analeta shida hapo nyumbani
  13. A

    Nimekuta chupi ya mke wangu chumbani kwa mdogo wangu wa kiume

    Umeshakosea katika hatua za awali za uchunguzi baada ya kuleta hii kitu kwenye jamvi. Mkeo ni member na kaishashtukia mipango yako. Siyo rahisi kutoa jibu la moja kutokana na hiyo chupi uliyoikuta chumbani kwa mdogo wako. Kwanza siamini kama dogo anaweza kutoa dozi nzito mpaka shemeji asahau...
Back
Top Bottom