Burton86jm
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 616
- 183
wewe una akili timamu, taifa linakutegemea so it's high time you started discussing real issues,, kupoteza chaji, bundle, muda na nguvu zako ku attack personalities na kuchukulia negatively kila asemacho Rais trust me haitokusaidia kitu.. sana itakuuguza presha. what would u have done with regard to this saga would u have been the President? kufundishwa kazi na kila mtu inaudhi usisikieHivi mmelishwa wote limbwata au nini?? Yaani unatetea ujinga bila aibu
Karma itafanya kaziLubuva ulaaniwe
I can beti were pia huna vyeti kwa akili ulizonazoTutampa kwa wengi sanaa kama kwa upinzania huu!!
Kama ishu ni kuchukua fomu basi wote wangekuwa marais, ni ujinga na ulevi wa madaraka uliopitiliza!tutunze sound record zake kwa audio ili 2020 anavyoomba kura tulinganishe na matamko yake anayotoa sasa. eti fomu nilichukua mwenyewe na hizo kura alijipigia mwenyewe?
Nitoe kwenye hiyo list tafadhali!Hii raha sana!!! Maaana watanzania tuliipenda wenyewe!!! Kelele za nini? Ngoja mpate fundisho.
Hiyo piga kazi mgekuwa ccm vichwa vyenu havina gongo km pombe basi hata hizo ajira wala msingezifuta.Wee chadema wewe jitulize bana. Fanya kazi ya maendeleo achana na porojo za kila siku mitandaoni. Kubali tu kuwa mlipigwa. Usipoteze muda mwingi kujadiri udaku. Piga kazi.
Tatizo sio mzee lubuva bali ni lowassa na kikwete kushindwa kumaliza tofauti zaoLubuva ulaaniwe
We mbwa si kila anayemkosoa huyo mzee kupata ni chama cha upinzani.mavi yakoKwaiyo hata kama mmempigia kura ndio mna haki ya kumtafutia nani awe anafanya nae kazi na nani asiwe anafanya nae kazi?
Kama mlitaka busara ile siku ya kwanza msingetoka nje ya bunge mkasusa.
Kususa ina maana mmemuachia na hamtoshirikiana nae.
Na kama mna ubavu subirini 2020 ila kwa kashasema mlie mgale gale yeye ndio rais na yeye ndio mwenye mamlaka ya kuchagua.
Mwisho endeleeni kupiga kelele mtanyamaza tu.
PointHalafu siku zote mtu anaejiamini hua hasemi hadharani "mimi ninajiaaaaminiiiii" the guy is is just as weak as a..........
Anayejiamini hasemi. Muoga tu huyo babuHalafu siku zote mtu anaejiamini hua hasemi hadharani "mimi ninajiaaaaminiiiii" the guy is is just as weak as a..........
Hata hivyo hao ndio wenye nchi yao hata kama ni wajinga. Nyerere alipogundua kuwa watu wake bado ni wajinga na waoga akalizimisha uwepo wa vyama vingi na kuzuia madini yasichimbwe na wageni.wewe una akili timamu, taifa linakutegemea so it's high time you started discussing real issues,, kupoteza chaji, bundle, muda na nguvu zako ku attack personalities na kuchukulia negatively kila asemacho Rais trust me haitokusaidia kitu.. sana itakuuguza presha. what would u have done with regard to this saga would u have been the President? kufundishwa kazi na kila mtu inaudhi usisikie