Pongezi kwa mtukufu rais Magufuli kuja na hii kitu sijui tuseme ni sera ya chama ama ni matakwa yako juu ya elimu kua bure
Katika mwaka wa kwanza tu tumeshuhudia wimbi kubwa la uandikishwaji wanafunzi darasa la kwanza
Hii maana yake ni kua walala hoi wengi tulikua tukikosa elimu hata ya msingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.