Mie nilijua tu baada ya kutolewa atatafutwa mchawi ili wabunge wasionekane wamepoteza muda na rasilimali kwenda kule zengwe lihamishwe halafu watanzania wasahau. Ila sawa bandugu tumeshasahu. [emoji124][emoji124][emoji124]
Kusapoti ufunguzi wa ubalozi Tanzania, kwa Tanzania kuwa nchi ya 13 Africa kukubali Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israël, kwa hiyo ile ilikuwa ni shukran na si vinginevyo wewe usiejua siasa za majitaka ujue.
Mie naamini hawana cha kugawana kama nyumba naamini hawajajenga, hawana gari, upuuzi wanini sisi kutuletea ujinga hapa. Waambie watu wenye akili za maisha hawana muda wa kupoteza kwenye migogoro shuwain wahed.
Mie nimegombana nimeachana na mke wa ndoa na nimemuachia kila kitu sembuse hao vimada.
Translation :
This has Nothing to do with Islamic state, did great study on this, the investigation were on the ground to study the possible hypotheses of conflict in the zone of basal Rovoma. Let me relax, I'll be back soon .......
Juzi United Arab Emirates walijiweka mbali na Marekani kwa mchezo mchafu anaoufanya Gulf wa kushambulia meli za watu na kuwasingizia Iran jana ubalozi wa Marekani unatoa tahadhari kuhusu kuwapo kwa shambulio la kigaidi leo watanzania wanatupiana lawama na kufarakana eti waislam wanataka...
Shida ni jinsi watu wanavyoitafsiri dini, ila ni kitu muhimu zaidi kwa binadamu maana dini huleta Amani, kukataza maovu na ndio nyenzo pekee unayoweza kuitumia kwa binadamu mwenzako akusikilize otherwise ni jeuri ya pesa na kuoneshana nani ni nani. Bila hizi Imani mambo yangekuwa magumu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.