Habar ndgu zangun jaman naomben msaada maana nimeangaika vya kutosha nmeshindwa naomben msaada mnisaidie nafasi za kazi atA vishughuli vidogo vidogo mtakua mmensaidia sanaa kwa majina naitwa ABDALLAH JUMA elimu yngu diploma ya PROCUREMENT & SUPPLY simu namba 0654320392
Na wakike ua hapend ad akifaham ulichonacho Sina maana ya lyfe material baliii apa ni kile ulichonacho mwilin na Cha kueZa kumshawishi mwanamke adi akuingie akufahamu upoje tafauti na sis wanaume ni muonekano tu wa mwanamke wA njee wanaume ndo tunachofulaishwa
Nacho mengne ya ziada tuuu huu ndo...
Ni nadra snaaaaa kufankiwa kwa kile ukitakacho kwa mwanamke ukiwa mkweri ....ila ilvyozoeleka uongo ndo suluhu ya kufankishaa na UKWERiI ni nadra kufankishaa binafsi yngu napenda kua mkwer ila cfanikish ....nakimbiwA
Ndguuu una Imani snaaa weng wanaume km mim mwanamke kwer ni km almasi ....UA tunakua na papala sanaaa ila ukawa na uvumiliv kma baadhi ya wanaume ...unakua na credit nyingiii snaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.