Shule unafundishwa mawazo ya watu unatakiwa wewe mwenyewe ukae ujitafakali ndani yako una nini unakifahamu ukitoa uliofundishwa shule au ulioyakuta kwenye jamii
Mimi mmoja wapo nilikamatwa na askari waliotumwa kihila na waziri mpina mwaka 2019 nikaamriwa nilipe million mbili kama fine saa Sita za usiku wakiwa na bunduki na walitupeleka baharini usiku mpina hafai kuwa kiongozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.