Sasa mkuu unasema ulishawai kumwambia bekitatu kufua nguo za ndani so vizuri lakini akawaka ukanywea. Sasa huoni kama wewe ndo unamfanya awe hivo? Kumpenda haimanishi usimwambie ukweli.
Muulize yeye binti wazazi wake wanasemaje huwezi jua labda anamaamuzi yakwake wazazi wake huwa wanamsikiliza. Navipi kwa umri huo anajishugulisha na nini? Nyoosha maelezo ili upate ushauri mzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.