Recent content by abdalahkova

  1. A

    Ilikuwa nife jioni hii ya leo!!!

    Achana nae huyo mkuu hakuna ulipojisifia.
  2. A

    Wachungaji mliopo humu nisaidieni

    Njoo pm nikukune maana ww hutaki kuombewa ila unawasha unaitaji kukunwa
  3. A

    Mke wangu anapenda tufanye mapenzi usiku tuu!

    Mara umeacha mara kitam mbona hueleweki? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  4. A

    Nimeachwa, najikuta natamani kila mwanaume

    Mm pia yamenikuta kama yakwako njoo tuongee niko siriaz
  5. A

    Mke wangu simwelewi kabisa, ananilazimisha niwe na mchepuko

    Sasa mkuu unasema ulishawai kumwambia bekitatu kufua nguo za ndani so vizuri lakini akawaka ukanywea. Sasa huoni kama wewe ndo unamfanya awe hivo? Kumpenda haimanishi usimwambie ukweli.
  6. A

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Alafu mm sikuile niliwaona pale uwanjani kumbe ndo wewe dahhh
  7. A

    Natafuta mme

    Ni pm yuyajenge
  8. A

    Baba mwenye nyumba kagundua kuwa namla bintiye

    Kwahiyo unampango wakuhamia kijijini? Kama anakupenda anaenda wapo wengi mbona mawehamia Huko.
  9. A

    Rafiki wa mchepuko wangu anataka kunioa

    Sasa tayari huyo rafiki WA mchepuko wako umeanza kudet nae unaogopa nini sasa. Siuendelee na mipango yako
  10. A

    Baba mwenye nyumba kagundua kuwa namla bintiye

    sasa huoni huyo ni mtu mzima kwa umri huo wanajua anahisia mwili lazima afanye. Sasa wewe ulitaka waseme nini? Lazima wakae kimya wanaona aibu.
  11. A

    Baba mwenye nyumba kagundua kuwa namla bintiye

    Miaka 22 huyo ni mtu mzima hawawezi kukufanya chochote hao wazazi wake. Wewe endelelea kujipigia.
  12. A

    Baba mwenye nyumba kagundua kuwa namla bintiye

    Muulize yeye binti wazazi wake wanasemaje huwezi jua labda anamaamuzi yakwake wazazi wake huwa wanamsikiliza. Navipi kwa umri huo anajishugulisha na nini? Nyoosha maelezo ili upate ushauri mzuri.
Back
Top Bottom