Recent content by Abdalah Abdulrahman

  1. Abdalah Abdulrahman

    Mamlaka zinashindwa kudhibiti wanaopandisha Nauli za Mabasi kiholela?

    Wananchi wanafahamu viwango vya nauli? Nadhani Latra inatoa elimu ya kutosha juu ya viwango vya nauli,wananchi wenyewe wajiongeze wasikubali nauli zizizopo nje ya zile za Latra.
  2. Abdalah Abdulrahman

    Mageuzi anayofanya Rais Samia Suluhu kwenye kilimo hayakuwahi kutokea

    Idadi ya watu Duniani inatarajiwa kufikia watu bilioni 10 kufikia mwaka 2050,wakati nchini Tanzania idadi ya watu inatarajiwa kufikia 137 milioni.Idadi hii kubwa ya watu itahitaji chakula kingi ukilinganisha na chakula kinachozalishwa kwa sasa. Idadi kubwa ya watu inahitaji fursa za ajira pamoja...
  3. Abdalah Abdulrahman

    Upotoshaji juu ya uwekezaji wa DP World unalengo la kuwahadaa wananchi kutokufanya maandalizi ya kuzichangamkia fursa zinazokuja katika Bandari zetu

    Maandalizi ndio msingi wa kila jambo,huwezi kufaulu usaili vema bila kufanya maandalizi,huwezi kufundisha vema kama ni mwalimu bila kufanya maandalizi,huwezi kugombea nafasi ya kisiasa,huwezi kusafri,kucheza mpira au kufanya jambo lolote bila kufanya maandalizi.Kadiri maandalizi yanavyofanyika...
  4. Abdalah Abdulrahman

    Naishauri serikali iwape tena DP world umiliki wa SGR yetu milele

    Ukinunua gari au boda boda dereva akawa haleti hesabu akatokea dereva ambaye ataleta hesabu utampatia anayeleta hesabu hata kama dereva mzembe ni mwanao wa kuzaliwa. Nchi inahitaji maendeleo na njia iliyotumika kwenye bandari ni kuondoa watu wachache wanaofaidika na bandari na kuweka wawekezaji...
  5. Abdalah Abdulrahman

    DP World amepata Bandari bila kupingwa

    Kuna utaratibu wa kumpata mzabuni kwa kumchagua mmoja.Kasome sheria ya manunuzi vizuri.
  6. Abdalah Abdulrahman

    Kesi mbalimbali za kampuni ya DP World inayotaka kuendesha bandari ya Dar es Salaam

    Dp World ni wafanyabiashara,mkikubaliana nao ni kufanya biashara na yale mambo ya kiholela na wizi hayatakiwi kuchukua nafasi.Hakuna kesi itakayokuwepo kati ya Tanzania na Dp World
  7. Abdalah Abdulrahman

    Chadema ni Team Samia kwa ushindi wa 2025

    Chadema wanataka majimbo ya wabunge wa CCM ambao hawatiimizi wajibu wao.Hawana shida na Raisi
  8. Abdalah Abdulrahman

    Kwa shangwe za wafuasi wa CHADEMA jana Rais Samia njia ni nyeupe 2025

    Siku ya jana inamwingiza tena kwenye historia ya Tanzania na Dunia Mama yetu kipenzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kudhihirisha ujasiri, utu na upendo wake kwa Watanzania wote kwa kile kitendo cha kuhudhuria kama Mgeni Rasmi sherehe za Siku ya Wanawake...
  9. Abdalah Abdulrahman

    Kusafiri kwa lengo la kuimarisha uchumi wa Tanzania ni moja ya Kazi ngumu anayofanya Rais Samia

    Endela kujifungia usikutane na watu wenye biashara na pesa zao ukadhani utaondokana na umasikini. Sisi masikini tulifundishwa elimu mbaya sana ya kuwachukia matajiri na ndio inayotutafuna mpaka leo. Kasome Rich Dady Poor Dady
  10. Abdalah Abdulrahman

    Kusafiri kwa lengo la kuimarisha uchumi wa Tanzania ni moja ya Kazi ngumu anayofanya Rais Samia

    Kazi hii hufanywa kwa hatua za awali na mabalozi, biashara hizi hazifungwi na mabalozi kutokana na ukubwa wake.
  11. Abdalah Abdulrahman

    4R (reconciliation, resilience, reforms & rebuilding) za Rais Samia sio maneno bali anaishi nazo katika matendo yake

    Binadamu haridhiki, Haya mambo hapo nyuma haya kuwepo, ridhika kwa kidogo
  12. Abdalah Abdulrahman

    4R (reconciliation, resilience, reforms & rebuilding) za Rais Samia sio maneno bali anaishi nazo katika matendo yake

    Vikao anavyofanya na viongozi wa vyama vya upinzani havina hesabu,ukiona viongozi wa upinzani hawalalamiki,jua mambo yanaenda vizuri.Achana na maneno ya watu wa club house
  13. Abdalah Abdulrahman

    4R (reconciliation, resilience, reforms & rebuilding) za Rais Samia sio maneno bali anaishi nazo katika matendo yake

    Kwani kuna chama kimeomba kuongea na wanachama wake kikakatazwa?,Mikutano ya kuwakutanisha watu na kusimamisha shughuli za uchumi ndio inatafutiwa utaratibu mzuri
  14. Abdalah Abdulrahman

    Kusafiri kwa lengo la kuimarisha uchumi wa Tanzania ni moja ya Kazi ngumu anayofanya Rais Samia

    Uchumi wa Kidiplomasia ni uchumi ambao unatumia diplomasia kufanikisha malengo ya serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo endelevu.Uchumi wa kidiplomasia unaongeza wawekezaji,uuzaji wa bidhaa nje,misaada,utalii,makubaliano ya kibiashara na mikopo nafuu.Ili malengo ya aina hii ya uchumi...
Back
Top Bottom