Na je, hivi yoka kipindi hicho hakuna aliyekuwa akijua kuwa TIDO MUHANDO alikuwa amefanya ubadhirifu wa fedha hizo?
Watanzania tujiulize kabla ya Tido kupewa ukurugenzi wa TBC, je ipi ilikuwa nafasi ya TBC kama chombo cha utangazaji cha taifa, na pia wapi ameifikisha?.
Nijuavyo TBC imetambulika...
TIDO MHANDO!
Aliombwa na Rais JK kuja kuifufua na kuiokoa TBC, Tido akaifanya kazi hiyo kufa na kupona na TBC ikaimarika, ikawa Shirika halisi la Utangazaji la Taifa. Tangu Tido aondoke TBC shirika hilo limegeuka kuwa tawi la CCM na Serikali na si chombo cha wananchi.
Malipo anayopewa Tido...
Daaah kwakweli hapama kosa kwa hao ila nadhan wenye dhamana na serikali nddio wana changamoto kidogo. Huwez kuhusianisha masuala ya dola na siasa.
THIS IS ABUNDANTLY FOOLISHNESS.
MAFUNZO YA HALI YA HEWA (TABIA YA NCHI)
By: Abineri Mwanuke
KARIBU KATIKA MAFUNZO YAHUSUYO MABADILIKO
YA TABIA YA NCHI.
FIGHT AGAINST GLOBAL CLIMATIC CHANGES
COMPAIGN
Tembelea:
www.tanzaniamynation.blogspot.com
Facebook:
A-newz classic
Abineri Wa Santina
SEHEMU YA KWANZA.
TABIA YA NCHI NI NINI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.