Watu darasa la saba ni kama wanapitaa tu maana hakuna haja ya mtihani tena wa darasa la saba halafu mnataka mtu akafundshwe kusoma na kuandika secondary mi nakuonea huruma sana mtoa mada pole sana sir/madam.
Kwakweli watakula hcho kilichopo watajua jinsi ya kugawana maana hamna namna tena.
Vitu vingine vinaudhi jamani AARGHHH Hz ndoa hizi inafka mahali kama ni msimu bas kiangaz unaugulia tu moyoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.