nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,733
- 14,141
kweli kabisa mkuu ni jambo la huzuni sana....Na juzi rais hasad kawapulizia sumu ya chlorine wananchi wake....watoto wamefariki bila ata kuwa na jeraho...nliangalia mpaka chakula kikagoma kipita....vita sio kitu cha kushadadia ata kidogo
Cc.Nyinyiem