Wapo njiani kwenda Europe.

Wapo njiani kwenda Europe.

kweli kabisa mkuu ni jambo la huzuni sana....Na juzi rais hasad kawapulizia sumu ya chlorine wananchi wake....watoto wamefariki bila ata kuwa na jeraho...nliangalia mpaka chakula kikagoma kipita....vita sio kitu cha kushadadia ata kidogo

Cc.Nyinyiem
 
kweli kabisa mkuu ni jambo la huzuni sana....Na juzi rais hasad kawapulizia sumu ya chlorine wananchi wake....watoto wamefariki bila ata kuwa na jeraho...nliangalia mpaka chakula kikagoma kipita....vita sio kitu cha kushadadia ata kidogo

Vita inatokana na watu kung'ang'ania madaraka utawala wa kidemokrasia unapojeuka kiinimacho na ufalme wa kurithishana madaraka kunawiri majanga kama hayo hutokea.
 
amani kwanza siasa badae
Kula ugali wa moto kisa siasa mie sitaki
 
Sasa wanaenda kwa Makafir tena?

Sawasawa!
Huo ndio ujanja. Wanakwenda kwa hao hao makafiri wanawatupia mabomu na kuwamaliza kwa kosa la kuwa Waislamu.

Sasa kitakachotokea huko Kwa makafiro utaskia raha mwenyewe.
Kwanza watazalisha sana Watoto wa kike wa makafiri.
Manake wengi wao ni mashoga na tasa. Kuzaa hawawezi.sasa ngoja waislamu wakawaonyeshe namna ya kuzalisha.

Kisha Baada ya Miaka km 15 -20 wao ndio watakuwa wapiga kura wengi kuliko hao makafiri.

Hapo sasa!
 
wanaotafuta wake wa kiarabu wakt ndo huu unachagua 2
 
Mbona wanaenda mbali huko kote? Ina maana nchi za kiarabu haziwezi kutoa hifadhi kwa waarabu wenzao?

25% ya wakazi wa Lebanon Ni wakimbizi na bado namba inaongezeka.
Ulitaka vipi wewe mgalatia? Wachukue wote milion 25 au?

Makafiri waanzishe Vita Mzigo wabebe waarabu?
Ugalatia kaazi kweli kweli.
 
Aise chuki uliyonayo umemzidi hata huyo unayemwamini

Mgalatia tofautisha Ukweli na Chuki.
Km nna chuki nisingeishi na wagalatia mtaa mmoja.
Ningehamia Zanzibar kwenye waislamu wengi. Lkn naishi na makafiri kwa sababu nataka kujaribu kuwaokoa na moto wa Jahannamu.
 
25% ya wakazi wa Lebanon Ni wakimbizi na bado namba inaongezeka.
Ulitaka vipi wewe mgalatia? Wachukue wote milion 25 au?

Makafiri waanzishe Vita Mzigo wabebe waarabu?
Ugalatia kaazi kweli kweli.


nadhani hii sio namana nzuri ya kutoa hoja especialy kwa great thinker, ni vizuri lugha nzuri ikatumika na kila mtu akaheshimu imani ya mwenzake, cha msingi tubishane kwa hoja na facts,sisi sote tu watanzania,hapana haja ya kubaguana kidini, na yeyote anaeleta aina hii ya ubaguzi yapasa tumpinge kwa nguvu zote,hata awe ni kiongozi au mgombea, umoja wetu na amani yetu tuvidumishe ili tusifike huko walipofika wenzetu
 
Hapo makafiri ndio wameanza kuonekana wa maana na watajua umuhimu wa amani duniani na watu ambao walikua wanawapa kiburi wamekataa kuwapokea sii wanajuana kwamba wao ni tatizo sana ktk duniani.
 
hata mimi nashangaa, waende kwa waarabu wenzao huko na sio kwa makafiri

Wanaenda kwa makafiri kuchukua nchi kilaini.
Makafiri wamechoma moto nyumba zao, sasa ulitaka mzigo huo wabebe waarabu?

Ukizingatia kuwa Makafiri wengi uwezo wao wa kuzaa ni mdogo.
Ukichanganya na hizo ndoa zao za jinsia moja ndio kwisha kabisa.
Ndani ya miaka 20 ijayo Idadi ya waislamu Europe itakuwa kubwa kuliko ya wenyeji.
Wapiga kura wengi watakuwa ni Waislamu.
Hapo ndio mtaona umuhimu wa Waislamu duniani.
Nyie badala ya kuomba waislamu wachukue nchi hizi za makafiri na nyie mpone! Mnaleta fitna na maneno mabovu.

We tulia wanamme wakawafundishe makafiri namna gani mwanamme anazalisha.
 
Dua ya Mkafiri toka lini ikampata Mwanaadamu anaeabudu Mungu mmoja.?
Nyie watu mna laana kubwa sana.
Maneno yenu machafu, tabia zenu chafu! Yaani laana tupu!

We unaweza kutembea hata na kaka yako basi tu mmalize hamu zenu za kishetani.

Unatoa pole ya kinafiki. Nani anahitaji pole yako Iblis Kuffar km wewe?
Hio pole kalia mwenyewe. Hatuna haja ya wanafiki waliolaaniwa kutoa pole kwa wanaadamu wanaoteseka kwa sababu ya silaha zilizo tengenezwa na Makafiri kama wewe!

Mungu awalaani laana ya milele.

Ameen.
APA unatufundisha nini kuhusu imani yako? Kuwa imejaa jazma na matusi, ungeandika bila matusi ungeeleweka tu.
 
Dua ya Mkafiri toka lini ikampata Mwanaadamu anaeabudu Mungu mmoja.?
Nyie watu mna laana kubwa sana.
Maneno yenu machafu, tabia zenu chafu! Yaani laana tupu!

We unaweza kutembea hata na kaka yako basi tu mmalize hamu zenu za kishetani.

Unatoa pole ya kinafiki. Nani anahitaji pole yako Iblis Kuffar km wewe?
Hio pole kalia mwenyewe. Hatuna haja ya wanafiki waliolaaniwa kutoa pole kwa wanaadamu wanaoteseka kwa sababu ya silaha zilizo tengenezwa na Makafiri kama wewe!

Mungu awalaani laana ya milele.

Ameen.

Kwani nyie si ndio mnaoana dada na kaka? Hivi hamuoni ni laana ya wazi kabisa kuoa mtoto wa mama yako mkubwa/mdogo, au mtoto wa baba yako mdogo/Mkubwa???

Laana hiyo ndio inawafanya mnachinjana kama kuku Halafu mnalalamika eti kuchinjana kwenu kumesababishwa na wakiristo😕

Nyambafu!
 
APA unatufundisha nini kuhusu imani yako? Kuwa imejaa jazma na matusi, ungeandika bila matusi ungeeleweka tu.

Umesoma alichonitumia huyo mgalatia?
Mimi sijamtukana bali nimempa ukweli wake.
Lzm utofautishe baina ya matusi na ukweli mkuu.
Mi matusi kwetu ni mwiko.
 
Kwani nyie si ndio mnaoana dada na kaka? Hivi hamuoni ni laana ya wazi kabisa kuoa mtoto wa mama yako mkubwa/mdogo, au mtoto wa baba yako mdogo/Mkubwa???

Laana hiyo ndio inawafanya mnachinjana kama kuku Halafu mnalalamika eti kuchinjana kwenu kumesababishwa na wakiristo😕

Nyambafu!

Ndugu mgalatia usie na akili! Ni nani aliekuloga?
Wapi nimeandika kuwa mauwaji yanayotokea Huko yanasababishwa na WAKRISTO?

Hivi kwanini makafiri kusema uongo mmegeuza ibada?

We endelea kumwaga mapovu lkn kumbuka hizo ndoa zenu za jinsia moja mnazo zipigia promo kila siku zitaingia mpk ndani ya majumba yenu.
Siku ukijaombwa uvalishwe sheli usijetupa ngumi hewani tu.
 
Umesoma alichonitumia huyo mgalatia?
Mimi sijamtukana bali nimempa ukweli wake.
Lzm utofautishe baina ya matusi na ukweli mkuu.
Mi matusi kwetu ni mwiko.

Ok ila punguza jazba na kejeli katika kujenga hoja.

Ukikutwa unagombana na kichaa we ndo utaonekana mjinga.
 
Back
Top Bottom