Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
vijiji vya wapi labda
Kwa niliyoyashuhudia mimi, Morogoro kule Dakawa na Mbeya maeneo ya Ushirika
vijiji vya wapi labda
View attachment 277499
Enzi hizo ukiwa na hiyo flip phone Motorola 1st generation, unaonekana wa maaana kumbe umeliwa!
Ukipiga au kupigiwa unalipa!!
Enzi hizo vocha inaitwa dola
Hahahahahaa mkuu umenikumbusha mbali sna natumwa dukani kununua celtel dola 2 hapo hakuna kujiunga ni kupiga na kutuma message bila vifurushi
Tulikuwa hatupigi maana dola huwa zinaisha haraka sana, tuliishia kubeepiana tu
Sema kudeep.