Uyo mkurugenzi ana roho mbaya amekuja kuhiaribu bandari wafanyakazi wanalalamika kwanza mbinafsi, mkabila ana roho mbaya, hana ushirikiano na wafanyakazi anawabana, yeye kila siku anasafiri kwenda ulaya, na hadi wafanyakazi wamemchoka kwa muda mfupi tu tangu ashike bandari, anawachongea wenziwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.