Utamu wa nyama MFUPA

Utamu wa nyama MFUPA

1dd518b1d3aff23c3d5ef82d3ac1305c.jpg
Basi huyu akianza kujamba utadhani pancha ya catapilla
 


Siku zote najiuliza, hivi kwanini wanawake wa kibongo wanakula sana bila hata kujali vitambi zembe? Utakuta mwanamke anakula chapati 6 na supu ya kichwa cha ng'ombe kisha anashushia na soda mbili na chai juu. Hapo chai tu bado kula mchana na usiku. Yaani mwanamke anakula utafikiri hatoiona kesho, hapo hapo anakuambia yuko kwenye diet why jamani?
 
Kwa kumuangalia tu huyo ni mwanamke wa wapi
Afrika kubwa hii, utamaduni wa ulaji "kabila"hiyo, Tz haupo.
Na wanawake wanaovaa kwa kujiachia yaani kwao kitu kiitwacho khanga ama kitenge ni msamiati, ni mataifa ya kusini mwa Afrika ikiwemo Zimbambwe, Namibia na SA kwenyewe.
 
Siku zote najiuliza, hivi kwanini wanawake wa kibongo wanakula sana bila hata kujali vitambi zembe? Utakuta mwanamke anakula chapati 6 na supu ya kichwa cha ng'ombe kisha anashushia na soda mbili na chai juu. Hapo chai tu bado kula mchana na usiku. Yaani mwanamke anakula utafikiri hatoiona kesho, hapo hapo anakuambia yuko kwenye diet why jamani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom