Recent content by abasi majallah

  1. abasi majallah

    Kwa sisi Wanaume ambao hatupendi kupiga Wake zetu

    ukitaka mwanamke akuheshimu usiwe mtu wakuongea sana hata kama kakuudhi nyamaza muangalie tuu. niamini keaho hatorudia lkn ukibishana nae kila siku mtagombana
  2. abasi majallah

    Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

    Bwana eeeeh hakuna hatakae ishi milele mara chai sumu mara soda sumu sasa tufanyaje wakati tumeumbiwa umaiti live your life bro.
  3. abasi majallah

    Nashindwa kurudisha moyo kwa mpenzi wangu baada ya kurudiana

    Acha upuuzi hakuna manzi atafika chuo na bikra lbd mwanaume ukiwa peke yako ulimwenguni. Hakuna madanga kama hao
  4. abasi majallah

    Nyie, Tunyweni bia

    Huyo ambae hanywi unakuta ni pangu pakavu kuliko mnywaji. Kunywa ww inaongeza uwezo wakutafuta pesa .
  5. abasi majallah

    Namna ya kuishi kwa kipato cha chini ya Tsh. 330,000/- kwa mwezi

    Mmmmmmh kumbe ndio maana CHAPUTA inazidi kuwa na followers [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji174]
  6. abasi majallah

    Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

    Wanajitambua na wako tayari kwalolote ilimradi haki isipindishwe. Wale sio waswahili wanajitambua na hawacheki kinafiki.
  7. abasi majallah

    Gharama za umeme: Rais Samia muwajibishe Waziri Kalemani na uongozi wote wa TANESCO

    Mm naona yuko sawa kazi ya serikali nakugharamikia wananchi wake kwn hakuna nchi umeme unavutiwa Bure kabisa acheni propaganda. Tanesco itazidi kupata mapato kwa wingi kama watanzania wengi wakiwa na umeme. Na kuwa tajiri sio kigezo chakutoa pesa nyingi ndio upate umeme Kwan tajiri pia ni...
  8. abasi majallah

    Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

    Kwahili nawaunga mkono sana yanga Sheria zipo lazima zifatwe tuache kubaka katiba ya Sheria za Mpira. Tutakuwa nyuma mpaka lini? Yanga hongereni sana
  9. abasi majallah

    Mechi ya Simba na Yanga imesogezwa hadi sa Moja Usiku

    Kwnn wanakuwa hawana muda maalumu
  10. abasi majallah

    Hiki ndicho kizazi cha sasa cha hawa mabinti

    Nikuomba mungu tu
  11. abasi majallah

    Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa wanabadilika kitabia

    Ni kweli kumekuwa natabia kama hizi ila mwanaume ndio mchunga wa familia kama mkigombana ucku unatakiwa mpaka asubuhi muwe mmepatana na ukiweka utambi tu mambo yanaisha kesho mnaamka na nada nyingine.
Back
Top Bottom