Recent content by Ab5

  1. A

    Barbara Gonzales ni mtu wa asili ya wapi?

    Na ww umetuonesha kama unayajua majina ya kofiii
  2. A

    Tigo mnakoelekea mtatuuzia 1 GB kwa Tsh 10,000/=

    Mimi nimewaacha nimehamia TTCL
  3. A

    Halima Mdee apoteza Jimbo la Kawe, Gwajima aibuka kidedea

    Giza totoro ndio ishara ya mapambazuko.
  4. A

    Heri waliolala mauti maana hawakuyashuhudia haya ya Oktoba 28, 2020

    kuna siku wote tutakufa... let them do whatever as if they will live forever
  5. A

    GE2020 Kishindo kikubwa Musoma: Lissu apokelewa kama shujaa

    sikupanga kupiga kura lakin nimepata hamasaaa ngoma inogile napiga kuraaaa
  6. A

    Tupeane mbinu kuhusu Online Teachers Application Sytem (OTEAS)

    i think wanaifanyia maboresho itakuja kukaa sawa tu wala tusiwe na presha ndugu Walimu watarajiwa hii ni kazi kwaajili yetu na system ikiendelea kugoma i hope watataoa orodha watu waripoti moja kwa moja we unacxhezea serikali ya magufuli hiatagak wannch wateseke
  7. A

    GE2020 Ubaguzi wa kiitikadi haukubaliki

    Na wakiteuliwa bado wanabaki kuwa Wapinzani?
  8. A

    GE2020 Ubaguzi wa kiitikadi haukubaliki

    Sio saw kabisa ukianzia hapo kwenye ubaguzi wa kiitikadi ni wazi kwamba hutaishia hapo it is possibly ukaenda hadi kwenye masuala ya kidini as far as umejitanabaisha kwamba ww ni mbaguzi ikiwa unambagua Wananchi kwasababu ya imani yao ya kisiasa vipi wale wasioamin kuhusu dini yako itafikia...
  9. A

    Vijana wa sasa tufikiri kuhusu haya

    Vijana sisi ni watu wenye nguvu sana katika Historia mambo mengi makubwa yalifanywa na watu wakiwa katika umri wao wa ujana mfano hao kina Malcom X, Marcus, Martin Luther, Mandela, Nyerere na wengineo Historia inawazungumzia mpaka leo kwasababu ya waliyoyafanya wakiwa vijana at their 20's and...
  10. A

    GE2020 Nilishawaambia muengueni Tundu Lissu, hamkusikia. Oneni!

    thinking is difficulty that is why most people judge
  11. A

    Walichofanya HELSB sio haki!

    Bum haihusiani na ada Dogo
Back
Top Bottom