i think wanaifanyia maboresho itakuja kukaa sawa tu wala tusiwe na presha ndugu Walimu watarajiwa hii ni kazi kwaajili yetu na system ikiendelea kugoma i hope watataoa orodha watu waripoti moja kwa moja we unacxhezea serikali ya magufuli hiatagak wannch wateseke
Sio saw kabisa ukianzia hapo kwenye ubaguzi wa kiitikadi ni wazi kwamba hutaishia hapo it is possibly ukaenda hadi kwenye masuala ya kidini as far as umejitanabaisha kwamba ww ni mbaguzi ikiwa unambagua Wananchi kwasababu ya imani yao ya kisiasa vipi wale wasioamin kuhusu dini yako itafikia...
Vijana sisi ni watu wenye nguvu sana katika Historia mambo mengi makubwa yalifanywa na watu wakiwa katika umri wao wa ujana mfano hao kina Malcom X, Marcus, Martin Luther, Mandela, Nyerere na wengineo Historia inawazungumzia mpaka leo kwasababu ya waliyoyafanya wakiwa vijana at their 20's and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.