Recent content by Aaron2013

  1. Aaron2013

    Leo nimepoteza simu ni samsung galaxy A31 hivi naweza kuipata?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  2. Aaron2013

    Amkeni, amkeni wamekuja tena. INFINIX HOT 10T. Imekuwa launched

    In box kuna nini? Nenda inbox ukirudi tuambie ulichopata hata kama ni maumivu [emoji38][emoji38]
  3. Aaron2013

    Leo nimepoteza simu ni samsung galaxy A31 hivi naweza kuipata?

    Mkuu huduma zinatafutwa,utapima thamani na umuhimu wa kupata simu yako dhidi ya gharama za kuwafuata walipo hao Cyber kisha amua Mkuu.
  4. Aaron2013

    Kiongozi Mbio za Mwenge kitaifa.

    Mkuu,pokea hata jina moja moja halafu baadaye copy kwenye karatasi yatakuwa mengi,Mimi namkumbuka aliyekuwa mtangazaji maarufu enzi hizo Suleiman Kumchaya alikimbiza miaka ya 80 na bado anadunda
  5. Aaron2013

    Full Back bora wa Kulia wa muda wote!

    Yusufu Ismail Bana
  6. Aaron2013

    Aveva na kundi lako siku zenu simba zinahesabika

    Kwani Simba ni timu ya ukoo ? Achana nayo , kashangilie timu unayoona ni bora,vidonda by tumbo na BP vya nini?
  7. Aaron2013

    Big Match: Simba 0 - 1 Azam, Lamba lamba waondoka na mkia wa mnyama

    Jamaaniii Raaaha,jamani raha!!! Wikiendi bora kabisa, we Mama muuza lete Azam embe bariiiidi kabsa nijipongeze
  8. Aaron2013

    Natambulisha Live Online Tv kwenu

    Iko poa,thanks!
  9. Aaron2013

    Kesi ya Agnes Doris Liundi - Nini hasa kilitokea?

    Hesabu iko vizuri,anza kuhesabu 1979 kuwa ni mwaka wa kwanza,hadi 1985 itakuwa miaka 7.
  10. Aaron2013

    Nimeathirika na kujichua, nakosa hamu ya tendo, nifanyeje?

    Njoo kwa Yesu hilo ndilo jibu la uhakika kwa tatizo lako,ukimpokea tu kuwa Bwana ktk maisha yako utaona mabadiliko instantly
  11. Aaron2013

    Kuna timu iliyogongwa goli nyingi zaidi ya Yanga kwenye michuano ya Mapinduzi Cup?

    Kama kawida Okw Sunzu kaanzisha mada kaona ya moto kaishia!!
  12. Aaron2013

    You will never walk alone

    Manure United!!! Mnachekesha kwelikweli
  13. Aaron2013

    Azam FC yatwaa Ubingwa wa kombe la Mapinduzi 2017 baada ya kuifunga Simba SC 1-0

    Hapo Amani Stadium pana viti kama vile vya Uwanja Mkuu???
  14. Aaron2013

    Yaliyojiri Uwanja wa Aman: Simba SC Vs Yanga,Kombe la Mapinduzi 10/1/2017

    Ulimi uliponza kichwa,angalia msing'oe viti hata huko,mchezo huu unahitaji uvumilivu,Mikia FC mnahitaji kuwa na dawa ya usingizi Karibu kwani bila hiyo usiku wa leo utakuwa ni mrefu sana kwenu!!
Back
Top Bottom