Je iwapo halmashauri ikikukamata na kutaifaisha huo mzgo utafidia vipi? Maana unajitangaza wazi wazi kuwa unanunua ufuta tena bila kibali cha halmashauri na huna leseni ya kufanya biashara hiyo!! Tunaju ufuta hukusanywa na vyama vya msingi na kupelekwa vyama vikuu 'maghara makuu' kwa lengo la...
Hali hii ipo wilaya ya Masasi pia.....tangu umeme umeunganishwa kijijini kwetu sujawahi ona umeme unapatikana ndani ya masa 24 bila kukatwa!!! mwaka sasa
Acheni tupumzke....kusoma nako kuna chosha....siku 2 tu kelele kibaooo je ingekuwa wiki 1.....kipindi cha Corona mbona tulipumzka mwez m1 kiliharibika nini?
Kwanini wasitumie ma basi kwa idara nyingne?
Rais na mawaziri ndo wangetumia magari binafsi
Mkuu wa mkoa na na viongozi wake wote wa chini chini yake wakae kwenye basi moja mfano (Mkuu wa mkoa,wakuu wa wilaya,wakurungenzi na wengineo )mbona viongozi wetu wa AFrika(ma rasis) walipohudhuria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.