Recent content by a45

  1. a45

    PostGE2025 Admin wa group la umoja wa Madaktari Tanzania atekwa

    Nilidhani kulikua na umuhimu wa kuonyesha uhusiano wa kuwa group adimin na kutweka kwake Vinginevyo sioni umuhimu wa kusema jamaa ni group adimin
  2. a45

    Kosa kubwa alilofanya Samia kwenye hotuba yake ni kukiri kuna Watoto wameuliwa na kupewa kesi ya Uhaini

    Amekili kwamba watu wameuawa na kuwapa pole wote wenye misiba swali ni Moja tu miili ya watu waliouawa Iko wapi wapewe ndugu zao wakazike
  3. a45

    Naomba kufahamishwa ni shule gani za primary za kiislam zilizopo maeneo ya kigamboni zinazofanya vizuri

    Uwezekano wa kupata shule nzuri ni mdogo sana kwani Shule nyingi za kidini hasa kiislam na sabato Huwa na performance mbovu sana kwenye elimu Dunia nadhani shida ni kuwekeza sana kwenye dini na sio elimu LAKINI HILI NIMESEMA TU sikupangii Nini cha kufanya
  4. a45

    Leo tuongee na wanaume vibonge, mnazingua sana wanetu

    Na wengine wanapenda kukaa vifua wazi wakati wanajua kabisa wana vifua vya kike mambo ya hovyo kabisa haya Watu wajistiri
  5. a45

    Haina haja ya Ufaransa, UK, Canada, Australia na nchi zingine za Magharibi kuitambua Palestina kama mambo haya matatu hayafanyiki

    Haya matakwa kutimizwa ni mambo yakufikirika tu hayawezi kuwekwa kwenye utekelezaji
  6. a45

    KERO Tafadhali Serikali fungieni mchezo wa AVIATOR, Mchezo sio fair na unaua ndoto za Vijana

    Ndoto zako zilikua kuwa tajiri kwa usiku mmoja mwekezaji kameza ndoto zako Badili attitude wachana na kamari kijana hakuna mafanikio huko Mafanikio (ikiwemo utajiri ni mchakato ) mrefu sana kubali steps wachana na overnight changes
  7. a45

    Urgently: Rais Samia nakuomba fanya jambo hili haraka sana uwasaidie wazazi wanao somesha Kayumba

    Masta mtoto uliza wewe unataka pesa ya chakula ulipiwe na mtu mwingine ? Jipige kifuani mara tatu jiambie kwa sautj kubwa Mimi Sina akili
  8. a45

    Polepole na tuhuma za uongo dhidi ya mradi wa JNHPP

    Masta we huna akili
  9. a45

    Jamii ya wahadzabe ilindwe, baada ya miaka 8 hawatokuwepo tena

    Akili yako inakwambia wanapaswa kubaki na maisha Yale kila siku ? Huoni umuhimu wa wao kupata elimu Bora, maisha Bora na mengine ? Basi, tu-assume uwezo wako wa kufikiri kmeishia hapa
  10. a45

    Hivi watumishi wenzangu mnawezaje kupata utajiri wa kuwa na mihela mingi!

    😂😂😂😂Kwamba unataka umpe utajiri kwa elfu kumi tu 😂😂😂😂😂
  11. a45

    Kama Gwajima na Polepole wana hoja, wajitoe CCM

    Hauna akili master
  12. a45

    Mke wangu ana tabia za wizi na udokozi

    Swali la kwanza (uwe muwazi deep down unamtizia mahitaji yake Angalau Kwa 70% ?) Swali la pili kwenye uchunguzi wako hizo pesa anachukua anazipeleka wapi ? Matumizi ya humo ndani ?, anahonga ?, anawatumia ndugu zake ? Au anatumia kwenye Nini ? Mke wako anajishughulisha na Nini ?
  13. a45

    GE2025 Rais Samia apewa Mbuzi wa Supu na Madereva Bodaboda na Bajaji baada ya kuchukua Fomu

    Labda kama mgeni kwenye michezo hii siajabu kwamba hao mbuzi wametoka kwenye channel yake mwenyewe hao ni watu wanaotumika kukabidhi tu
Back
Top Bottom