Lamborgini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2024
- 913
- 1,527
We jamaa matako kweli je umeona bei za umeme zmeshuka, kama sivyo basi kuna upigaji.
Haya yanaweza kuwa yapo chini ya kiapo cha usiri.polepole alikuwa na mpango mzuri nakumbuka ya diplomasia
Ya afya kati ya Cuba na tz,uletwaji wa madawa naona kuna zengwe lilikuwepo
inabidi siku aje azungumzie aeleze ugumu ulikuwa wapi
ova
Ule mpango ulikuwa poa sana, sijui ni wajinga gani huko serikalini waliukwamisha...polepole alikuwa na mpango mzuri nakumbuka ya diplomasia
Ya afya kati ya Cuba na tz,uletwaji wa madawa naona kuna zengwe lilikuwepo
inabidi siku aje azungumzie aeleze ugumu ulikuwa wapi
ova
Kuna dawa za kupuliza kuua mmbu zinatoka Cuba,nlibahatika kuzipata ilikuwa kwa mbinde lknUle mpango ulikuwa poa sana, sijui ni wajinga gani huko serikalini waliukwamisha...
Hoja mbovu kabisaPOLEPOLE NA UONGO USIO NA USHAHIDI
Kuhusu swala la Polepole kusema kwamba kwenye mradi wa bwawa la JNHPP kuna ubadhilifu wa pesa, hilo ni uongo kwa sababu zifuatazo:
1. Mradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua tatizo la umeme kwa Watanzania. Pia ni mradi ambao uliidhinishwa na Bunge/Serikali kwa ujumla.
2. Swala la ubadhilifu wa pesa ni la uongo kwa sababu kila pesa inayotoka kwenda kwenye mradi huwa ni lazima iidhinishwe na Bunge. Kama kutakuwa na ubadhilifu wa pesa, ripoti ya CAG ndiyo huwa inakuja kusema hayo. Je, ripoti ya CAG iliyaona hayo? Ikiwa haikuyaona, basi Polepole naye atakuwa miongoni mwa wapigaji hao anaowataja.
3. Wakati huo Polepole alikuwa ni Mwenezi wa Chama, nafasi ambayo ilimpa wajibu wa kuunga mkono na kusimamia utekelezaji wa miradi ya Serikali. Kama kweli aliona kuna tatizo, kwa nini hakulitolea maelezo akiwa ndani ya mfumo? Kwa nini asubiri leo aje na tuhuma zisizo na ushahidi?
Hapo ndipo inakuja hoja ya kusema kuwa Polepole amekuja kuichafua Serikali ya Awamu hii baada ya kuona hajatimiza majukumu yake ipasavyo na kutekwa na mabepari wa nje kwa kulipwa fedha nyingi.
projectPOLEPOLE NA UONGO USIO NA USHAHIDI
Kuhusu swala la Polepole kusema kwamba kwenye mradi wa bwawa la JNHPP kuna ubadhilifu wa pesa, hilo ni uongo kwa sababu zifuatazo:
1. Mradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua tatizo la umeme kwa Watanzania. Pia ni mradi ambao uliidhinishwa na Bunge/Serikali kwa ujumla.
2. Swala la ubadhilifu wa pesa ni la uongo kwa sababu kila pesa inayotoka kwenda kwenye mradi huwa ni lazima iidhinishwe na Bunge. Kama kutakuwa na ubadhilifu wa pesa, ripoti ya CAG ndiyo huwa inakuja kusema hayo. Je, ripoti ya CAG iliyaona hayo? Ikiwa haikuyaona, basi Polepole naye atakuwa miongoni mwa wapigaji hao anaowataja.
3. Wakati huo Polepole alikuwa ni Mwenezi wa Chama, nafasi ambayo ilimpa wajibu wa kuunga mkono na kusimamia utekelezaji wa miradi ya Serikali. Kama kweli aliona kuna tatizo, kwa nini hakulitolea maelezo akiwa ndani ya mfumo? Kwa nini asubiri leo aje na tuhuma zisizo na ushahidi?
Hapo ndipo inakuja hoja ya kusema kuwa Polepole amekuja kuichafua Serikali ya Awamu hii baada ya kuona hajatimiza majukumu yake ipasavyo na kutekwa na mabepari wa nje kwa kulipwa fedha nyingi.
Una ushahidi wa hiyo kulipwa pesa nyingi??..na kutekwa na mabepari wa nje kwa kulipwa fedha nyingi.
Masta we huna akiliMradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua tatizo la umeme kwa Watanzania. Pia ni mradi ambao uliidhinishwa na Bunge/Serikali kwa ujumla.
Embu nipe link nimcheck huyu mwamba anatusanua kweli kweli.POLEPOLE NA UONGO USIO NA USHAHIDI
Kuhusu swala la Polepole kusema kwamba kwenye mradi wa bwawa la JNHPP kuna ubadhilifu wa pesa, hilo ni uongo kwa sababu zifuatazo:
1. Mradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua tatizo la umeme kwa Watanzania. Pia ni mradi ambao uliidhinishwa na Bunge/Serikali kwa ujumla.
2. Swala la ubadhilifu wa pesa ni la uongo kwa sababu kila pesa inayotoka kwenda kwenye mradi huwa ni lazima iidhinishwe na Bunge. Kama kutakuwa na ubadhilifu wa pesa, ripoti ya CAG ndiyo huwa inakuja kusema hayo. Je, ripoti ya CAG iliyaona hayo? Ikiwa haikuyaona, basi Polepole naye atakuwa miongoni mwa wapigaji hao anaowataja.
3. Wakati huo Polepole alikuwa ni Mwenezi wa Chama, nafasi ambayo ilimpa wajibu wa kuunga mkono na kusimamia utekelezaji wa miradi ya Serikali. Kama kweli aliona kuna tatizo, kwa nini hakulitolea maelezo akiwa ndani ya mfumo? Kwa nini asubiri leo aje na tuhuma zisizo na ushahidi?
Hapo ndipo inakuja hoja ya kusema kuwa Polepole amekuja kuichafua Serikali ya Awamu hii baada ya kuona hajatimiza majukumu yake ipasavyo na kutekwa na mabepari wa nje kwa kulipwa fedha nyingi.
Personal attacks on social issues do not help you cleanse your rottennessPOLEPOLE NA UONGO USIO NA USHAHIDI
Kuhusu swala la Polepole kusema kwamba kwenye mradi wa bwawa la JNHPP kuna ubadhilifu wa pesa, hilo ni uongo kwa sababu zifuatazo:
1. Mradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua tatizo la umeme kwa Watanzania. Pia ni mradi ambao uliidhinishwa na Bunge/Serikali kwa ujumla.
2. Swala la ubadhilifu wa pesa ni la uongo kwa sababu kila pesa inayotoka kwenda kwenye mradi huwa ni lazima iidhinishwe na Bunge. Kama kutakuwa na ubadhilifu wa pesa, ripoti ya CAG ndiyo huwa inakuja kusema hayo. Je, ripoti ya CAG iliyaona hayo? Ikiwa haikuyaona, basi Polepole naye atakuwa miongoni mwa wapigaji hao anaowataja.
3. Wakati huo Polepole alikuwa ni Mwenezi wa Chama, nafasi ambayo ilimpa wajibu wa kuunga mkono na kusimamia utekelezaji wa miradi ya Serikali. Kama kweli aliona kuna tatizo, kwa nini hakulitolea maelezo akiwa ndani ya mfumo? Kwa nini asubiri leo aje na tuhuma zisizo na ushahidi?
Hapo ndipo inakuja hoja ya kusema kuwa Polepole amekuja kuichafua Serikali ya Awamu hii baada ya kuona hajatimiza majukumu yake ipasavyo na kutekwa na mabepari wa nje kwa kulipwa fedha nyingi.
Kabla hujapost baada ya kuandika uharo wako, unipe muda wa kuusóma, alafu Jiulize, Jamii itapokeaje?.POLEPOLE NA UONGO USIO NA USHAHIDI
Kuhusu swala la Polepole kusema kwamba kwenye mradi wa bwawa la JNHPP kuna ubadhilifu wa pesa, hilo ni uongo kwa sababu zifuatazo:
1. Mradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua tatizo la umeme kwa Watanzania. Pia ni mradi ambao uliidhinishwa na Bunge/Serikali kwa ujumla.
2. Swala la ubadhilifu wa pesa ni la uongo kwa sababu kila pesa inayotoka kwenda kwenye mradi huwa ni lazima iidhinishwe na Bunge. Kama kutakuwa na ubadhilifu wa pesa, ripoti ya CAG ndiyo huwa inakuja kusema hayo. Je, ripoti ya CAG iliyaona hayo? Ikiwa haikuyaona, basi Polepole naye atakuwa miongoni mwa wapigaji hao anaowataja.
3. Wakati huo Polepole alikuwa ni Mwenezi wa Chama, nafasi ambayo ilimpa wajibu wa kuunga mkono na kusimamia utekelezaji wa miradi ya Serikali. Kama kweli aliona kuna tatizo, kwa nini hakulitolea maelezo akiwa ndani ya mfumo? Kwa nini asubiri leo aje na tuhuma zisizo na ushahidi?
Hapo ndipo inakuja hoja ya kusema kuwa Polepole amekuja kuichafua Serikali ya Awamu hii baada ya kuona hajatimiza majukumu yake ipasavyo na kutekwa na mabepari wa nje kwa kulipwa fedha nyingi.
Ile Winchi ya kunyanyua tani nyingi aliyosema Januari hukuelewa hiyo code ilikuwa na viashiria gani?POLEPOLE NA UONGO USIO NA USHAHIDI
Kuhusu swala la Polepole kusema kwamba kwenye mradi wa bwawa la JNHPP kuna ubadhilifu wa pesa, hilo ni uongo kwa sababu zifuatazo:
1. Mradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua tatizo la umeme kwa Watanzania. Pia ni mradi ambao uliidhinishwa na Bunge/Serikali kwa ujumla.
2. Swala la ubadhilifu wa pesa ni la uongo kwa sababu kila pesa inayotoka kwenda kwenye mradi huwa ni lazima iidhinishwe na Bunge. Kama kutakuwa na ubadhilifu wa pesa, ripoti ya CAG ndiyo huwa inakuja kusema hayo. Je, ripoti ya CAG iliyaona hayo? Ikiwa haikuyaona, basi Polepole naye atakuwa miongoni mwa wapigaji hao anaowataja.
3. Wakati huo Polepole alikuwa ni Mwenezi wa Chama, nafasi ambayo ilimpa wajibu wa kuunga mkono na kusimamia utekelezaji wa miradi ya Serikali. Kama kweli aliona kuna tatizo, kwa nini hakulitolea maelezo akiwa ndani ya mfumo? Kwa nini asubiri leo aje na tuhuma zisizo na ushahidi?
Hapo ndipo inakuja hoja ya kusema kuwa Polepole amekuja kuichafua Serikali ya Awamu hii baada ya kuona hajatimiza majukumu yake ipasavyo na kutekwa na mabepari wa nje kwa kulipwa fedha nyingi.
😄 🤣Umewahi kuapishwa na marasi 3?
Umewahi kumwakilisha Rais kwenye inchi zaidi ya moja?
Umewahi kuwa msemaji mkubwa wa chama?
Umewahi kuwa mjumbe uliechaguliwa na Rais?
Kama hayo yote huna then kaa kimya tu uwezi kumjibu pole pole