1m ni pesa ndogo sana ukiingiza katika mchakato huo hata kwa duka la mangi, najaribu kuwaza tu ukinunua vitu vya chini, eg, mfuko wa sukari, dumu la mafuta, mchele, nk, hiyo pesa haitosh kabsa bora ukomae tu na hicho kilichofanya uipate hiyo pesa uisogeze sogeze!