Maisha ndo hvyo! Hata ukikutana nao hamna cha maana, ni stor moja mbili kila mtu anapotea kivyake, zaid ni kuchimbana tu kujua nan ana maisha zaid ya mwingne
Kinachofanyika hapo ni kupoteza mamlaka za inje kwamba vurugu za MO29 ziko chini ya uchunguz mkali na serikal ya ndani, lakn kumbe hamna kitu, mbinu ni zile zile!
sio kupima afya tu, apime na mimba kabsa, asije kushikishwa zigo la mtu, baada ya hapo mkalishe kikao wew na yeye, umpe mashart ya yako na umkanye kuhsu tabia zote za kipuuzi (hakikisha unakua sirias sana), then msamehe kwa sharti la akisudia ndo imeisha hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.