Recent content by A man from Island

  1. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ndagu nimeamini hakuna ukweli

    Ndagu ni harisi kabsa! Kama upo kanda ya ziwa ulizia kuna mtu mmoja ni maarufu na anapesa, huyu bwana awewahi kufanya kituko cha mwaka (alikula ndagu, akambaka dada ake toka nitoke sokoni siku wa gurio live bila chenga akamvua kabsa na akaichapa), baada ya hapo jamaa alipata pesa sana na...
  2. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kweli ni ngumu! Mtangaaji wa Crown FM apata homa akiwa anawahoji wageni waliomshtukiza studio

    Duh! Huyo nae hamna kitu, yaan mtangazaji wa media kubwa kama ile anashindwa kufanya mahojiano ya kiingereza kwa mda mfupi, kaajiriwa vip hapo!? Huyo nae ni bure kabsa! Kashndwa kufanya kitu ambacho kinaweza kufanywa na form four felia wetu waliohtim katka shule zetu za yebo yebo! Huyo ni bure tu
  3. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ndagu nimeamini hakuna ukweli

    Utajiri wa ndagu upo na ni harisi kabsa, sema kwa wakati huu kumpata mtaalamu wa kwel ni ngumu sana, zama hiz matapel tu ndo wamejazana!
  4. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu ashiriki maziko ya mhe. Hafidh Ameir Hassan

    Huyo mzee ngoja apumzike tu maana lile bao lake la Abdul alituletea laana kwa hii nchi!
  5. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Biashara ipi nifanye

    1m ni pesa ndogo sana ukiingiza katika mchakato huo hata kwa duka la mangi, najaribu kuwaza tu ukinunua vitu vya chini, eg, mfuko wa sukari, dumu la mafuta, mchele, nk, hiyo pesa haitosh kabsa bora ukomae tu na hicho kilichofanya uipate hiyo pesa uisogeze sogeze!
  6. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Yote ni ubatili! Ujana ulinifanya niwe wa moto sana kwa wadada wenye makalio makubwa. Nilitumia pesa sana lakini nilipoteza muda ila niling'atuka

    Mkuu inaonekana una stori tamu ila tatizo una haraka sana! Tulia utupe story vizuri, ulianzaje kuzamia kupenda makebo?, ulitumia mbinu gan kuwashawishi hao wenye makebo au ulitumia pesa, umepata athari zip na zip, vp kuhusu gono, uti na umeme uliukwepaje, ulikua unapga peku au ukiwa umevaa gambuti?
  7. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Ushauri nimuoe huyu singo maza

    Kiongozi, maisha bila stress hayaendi! Namaanisha stress ni sehemu ya maisha! Go a head.
  8. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Hata km ni masharti ya Mganga msifanye hivi

    Duh!
  9. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Simu Inauzwa

    Infinix smart 7 HD imetumika MIAKA MIWILI inauzwa LAKI NA TISINI! Duh! mim siongei kitu
  10. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Hata km ni masharti ya Mganga msifanye hivi

    Hv jaman, hizo kitu huwa zinatema sana? Maana wengne huwa tunasikia tu story hatujawah kupambana nazo! Leten experience ambao mmewah kupambana nazo, zinatoa kama nin?, kama panya aliyekufa au zinatoa kama nin?
  11. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    kama kuna ka ukwel fulan hv!
  12. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa wanao sajili laini ukimkamata amesajili laini zaidi unamfanyaje wakuu?

    Wapgie customer care wa mtandao husika waambie umepoteza line line na kuna mtu anaitumi (huku ukiwatajia hizo usizozifahamu), uwaambie wazifunge (ukizuga kwa usalama utaenda kuzirenew) watataka utambulisho utatumia NIDA, Watazifunga mchezo kwisha! NOTE; Ila wapgie wanaozitumia watoe pesa zao...
  13. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Binafsi sijaona makosa yoyote kwa huyo mzee wako! Kwa mim ninavyojua mzazi anawajibu wa kuwalea watoto wake kwa kuwatiisha (kuwafanya watoto waish maisha siriasi), maana haijulikan mtoto katka maisha (ukubwan) yake atapitia nin, mzaz anapaswa kumuandaa mtoto kupambana changamoto yoyote katka...
  14. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Wenyeviti 17 wa Vyama vilivyoshiriki Uchaguzi watunzwe kwa wivu mkubwa

    Kwel, wenye viti wa vyama vya chawa wa CCM watunzwe maana hao ndio wanatupa ushirikiano pindi tunapopora uchaguzi wanakuwa upande wetu na wanalitakia aman taifa, hao wengne tukipora uchaguzi wanahamasisha vurugu!
  15. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Nimekuulza "kama kwel watanzania wote ni ndgu ilikuwaje MO29 mliwaua watoto wa kitanganyika huku mkijua wote ni ndgu?"
Back
Top Bottom