Kwel, wenye viti wa vyama vya chawa wa CCM watunzwe maana hao ndio wanatupa ushirikiano pindi tunapopora uchaguzi wanakuwa upande wetu na wanalitakia aman taifa, hao wengne tukipora uchaguzi wanahamasisha vurugu!
Ndo maana nasema huna akili, hao unaowaita ndugu zenu, hao hao si ndio mnawazuruza kila siku mahakaman na kesi za uongo.
Inakuaje kama watanzania wote ni ndgu halaf MO 29 Mkawamiminia risasi hao ndugu zenu?
Akili zako ziko makalioni.
Mwambie ukweli maana siku akija kujua ukwel, wew ndio utatakiwa kubeba lawama za kwann hukumwambia wakati wote. Amin huyo ndgu yako kategesha mtoto akue ajitegemee kisha amsanue jamaa! Lawama zote zitakua kwako!
wew elewa kuwa maisha ya mwanadam MUNGU hayajali, yaan ukiingia tu dunian elewa utaish maisha ya bahat na sibu, lolote linaweza kukupata wakat wowote (liwe baya ama jema), kwake MUNGU hizo sio shda zake, anachojal yeye ufe ukiwa upande wake, mengne yote yanayokuhusu wew ukiwa hai utajijua...
Kosa nililolifanya nikiwa na miaka 20+ ni kumuamin mwanamke ambaye niliamin kabsa kuwa ni mwanamke sahihi sana kwangu!
Nikiwa katka mahusiano nae (mkoa mmoja wilaya tofauti), kumbe mwenzangu kule ananipga matukio wakat huo mm nahudumia na kutoboka kwelikweli huku naishi kwa uaminifu sana...
Kwamba mech zote za simba ambazo hudondosha point huwa Arajiga ndio kawachezesha. Kumbe unataka kutuambia bila Arajga simba angeshaleta kombe la CAF ila Arajinga anawachezeshaga vibaya?
Maisha bana!
Unaweza kuwa na ndoto ila ukaja kuishi maisha tofauti kabsa na zile ndoto. Ila kikubwa ni kutokukata tamaa, ni kupita mlemle, ni kulazimisha unachokiamin had kitokee, haijalish ndoto zinapindapinda ama vipi, USIFE KIZEMBE!
Ukweli ndio huo! Mara nyingi wanawake huwa wanacheza na saikolojia za watoto ili Waegamie upande wao! utashangaa watoto kila kitu wanamwambia mama yao, wew upo lakin huambiwi utasikia kutoka kwa mama yao, wakat huo wew ndo unategemewa kwa kila kitu!
usishangae unagombana na mkeo watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.