Recent content by A man from Island

  1. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Wenyeviti 17 wa Vyama vilivyoshiriki Uchaguzi watunzwe kwa wivu mkubwa

    Kwel, wenye viti wa vyama vya chawa wa CCM watunzwe maana hao ndio wanatupa ushirikiano pindi tunapopora uchaguzi wanakuwa upande wetu na wanalitakia aman taifa, hao wengne tukipora uchaguzi wanahamasisha vurugu!
  2. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Nimekuulza "kama kwel watanzania wote ni ndgu ilikuwaje MO29 mliwaua watoto wa kitanganyika huku mkijua wote ni ndgu?"
  3. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Ndo maana nasema huna akili, hao unaowaita ndugu zenu, hao hao si ndio mnawazuruza kila siku mahakaman na kesi za uongo. Inakuaje kama watanzania wote ni ndgu halaf MO 29 Mkawamiminia risasi hao ndugu zenu? Akili zako ziko makalioni.
  4. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Hili li mtu linaloanzaga na unafiki et "ndugu zangu watanzania" Halinaga akili!
  5. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Mwambie ukweli maana siku akija kujua ukwel, wew ndio utatakiwa kubeba lawama za kwann hukumwambia wakati wote. Amin huyo ndgu yako kategesha mtoto akue ajitegemee kisha amsanue jamaa! Lawama zote zitakua kwako!
  6. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kwenye maisha silalamiki wala kulialia na mtu tena nitatatua matatizo yangu mwenyewe

    Ukwel ndio huo! Hamna mtu atakuwa na huruma na wew, tena ukiwa na shida ndo kabsa watu watatumia shida hiyo kukunyanyasa!
  7. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    wew elewa kuwa maisha ya mwanadam MUNGU hayajali, yaan ukiingia tu dunian elewa utaish maisha ya bahat na sibu, lolote linaweza kukupata wakat wowote (liwe baya ama jema), kwake MUNGU hizo sio shda zake, anachojal yeye ufe ukiwa upande wake, mengne yote yanayokuhusu wew ukiwa hai utajijua...
  8. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Makosa ya Umri wa Miaka 20

    Hapana, hizi tabia zingne ninazoziona sintatoboa, navumilia tu ili watoto wakue kidogo
  9. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Makosa ya Umri wa Miaka 20

    Asante, japo bado sijapoa!
  10. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Makosa ya Umri wa Miaka 20

    Kosa nililolifanya nikiwa na miaka 20+ ni kumuamin mwanamke ambaye niliamin kabsa kuwa ni mwanamke sahihi sana kwangu! Nikiwa katka mahusiano nae (mkoa mmoja wilaya tofauti), kumbe mwenzangu kule ananipga matukio wakat huo mm nahudumia na kutoboka kwelikweli huku naishi kwa uaminifu sana...
  11. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Simba mnaweza kusajili vizuri, mkaweka motisha kwa wachezaji lakini mkikubali ARAGIJA akacheza mechi zenu msahau Ubingwa

    Kwamba mech zote za simba ambazo hudondosha point huwa Arajiga ndio kawachezesha. Kumbe unataka kutuambia bila Arajga simba angeshaleta kombe la CAF ila Arajinga anawachezeshaga vibaya?
  12. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Maisha konyo; Kuna dogo mtaani kadata kisa malengo aliyojiwekea akifikisha miaka 25 hayajatimia

    Maisha bana! Unaweza kuwa na ndoto ila ukaja kuishi maisha tofauti kabsa na zile ndoto. Ila kikubwa ni kutokukata tamaa, ni kupita mlemle, ni kulazimisha unachokiamin had kitokee, haijalish ndoto zinapindapinda ama vipi, USIFE KIZEMBE!
  13. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Njia bora ya kulitatua tatizo ni kukabiliana nalo na sio kulikimbia

    Hebu twambie mfano wa hilo tatizo ili na sisi tulipime tuone kama nilakutoka nduki ama kuliface
  14. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Kuoa siyo jambo jema kwani kuoa ni kumleta mtu nyumbani kwako. Aje kula pesa zako halafu azae marafiki zake

    Ukweli ndio huo! Mara nyingi wanawake huwa wanacheza na saikolojia za watoto ili Waegamie upande wao! utashangaa watoto kila kitu wanamwambia mama yao, wew upo lakin huambiwi utasikia kutoka kwa mama yao, wakat huo wew ndo unategemewa kwa kila kitu! usishangae unagombana na mkeo watoto...
Back
Top Bottom