Recent content by A man from Island

  1. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Leo naona machawa hawajalala, ni nyuzi za uchawa mwanzo mwisho!
  2. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Wewe kweli ni "ALEMAVI", maana hata unachokiandika kinasapot jina lako.
  3. A man from Island

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni aina gani ya mwanamke ndiye furaha na faraja yako?

    Mwanamke flan anaejitambua, ambae nikikaa nae kujadil jambo analeta point zilizonyooka, shep kidogo na sura. Acha wale wapayukaji, neno dogo analoloma dizain kama anakaufyatu fulan kichwan! Sipendi.
  4. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa sana usije ukakutana tena uso kwa uso na watu uliosoma nao secondary

    Maisha ndo hvyo! Hata ukikutana nao hamna cha maana, ni stor moja mbili kila mtu anapotea kivyake, zaid ni kuchimbana tu kujua nan ana maisha zaid ya mwingne
  5. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anakubalika Duniani Kote Na Ndio Maana Mataifa Yote Yana Balozi na Mabalozi wao wanaoendelea Na Kazi Nchini. Hakuna ubalozi Uliofungwa

    Et "ndgu zangu watanzania"!!! Mimi kuwa na undgu na wew si bora nimiliki gunia la mavi niishi nalo ndan kuliko kuwa na ndugu tahira kama wew.
  6. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Marekani mnafiki wa haki za binadamu duniani.! Ukistaajabu ya Musa

    Kwahyo kumbe mnafanya yale yote kisa yanafanywa ndan ya inchi zingine! "Ukiiga kunya kwa Tembo utapasuka ........."
  7. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Ccm haifiki 2040 itakuwa imeshakufa

    Daah!
  8. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Asante Mungu kwa hii Nyota Kali uliyonibariki nayo, japo nakiri inatusababishia tuchukiwe, turogwe na tuonewe wivu sana

    Ujinga ujinga tu, kushukuru kwa nyota ya uchawa na kujikomba komba kwa watawala, akili za machawa huwa ziko mkunduni!
  9. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Tujihoji kwa makini: Hii tume iliyoundwa kwenda kuchunguza makosa jinai yaliyotokea Oktoba 29 mwaka 2025 inakwenda kuchunguza nini?

    Kinachofanyika hapo ni kupoteza mamlaka za inje kwamba vurugu za MO29 ziko chini ya uchunguz mkali na serikal ya ndani, lakn kumbe hamna kitu, mbinu ni zile zile!
  10. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Tujihoji kwa makini: Hii tume iliyoundwa kwenda kuchunguza makosa jinai yaliyotokea Oktoba 29 mwaka 2025 inakwenda kuchunguza nini?

    Matumiz ya pesa za mikopo hayaumiz kama unajua hautodaiwa wew moja kwa moja, ni rafu kwenda mbele!
  11. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Kutafuta utajiri

  12. A man from Island

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Pesa ya mkopo kama unajua hutolipa wew, utaitumia unavyojisikia, hata matumizi ya rafu hautowaza!
  13. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Sio Mungu tu tuliyemkataa

    Uzungu uzungu mwingi hadi bandiko limekosa mwelekeo!
  14. A man from Island

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu aliyeniacha anaomba msamaha anataka turudiane

    sio kupima afya tu, apime na mimba kabsa, asije kushikishwa zigo la mtu, baada ya hapo mkalishe kikao wew na yeye, umpe mashart ya yako na umkanye kuhsu tabia zote za kipuuzi (hakikisha unakua sirias sana), then msamehe kwa sharti la akisudia ndo imeisha hiyo.
  15. A man from Island

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Mimi ndiye Mwandishi wa habari wa kwanza Tanzania kutuma stori kwa Internet

    Tukisema, tunaambiwa tutakamatwa!
Back
Top Bottom