Ni makala ndefu mno ila itworth kuisoma ili kujua mengi kuhusu Muungano wetu
KAMARA KUSUPA NA MTAMBO WA KASUMBA JUU YA ZANZIBAR
Nimesoma katika Gazeti la An-nuur la tarehe 11- 17 Novemba, 2016, Makala ya Mwinjilisti Kamara Kusupa isemayo “Kabla ya kudai “Fungu Baraka” Ulizeni nani aliitoa...
MELI mpya ya Mapinduzi II inatarajiwa kuondoka nchini Jumaatatu ijayo kuelekea Mombasa chelezoni kwa kufanyiwa ukaguzi wa kawaida baada ya dhamana ya mwaka mmoja iliyowekwa kati ya Serikali na mtengenezaji wa meli hiyo.
Hayo yamesemwa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na...
Possibly huwa wanapeperusha bendera ya Zanzibar ikiwa tu Makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar yumo ndani ya office kwa wakati huo, na katika kikao cha BARAZA kuu lao alikuwapo.
Jamani tatizo la Ndungai lipo wapi? Utaratibu ni kuwa Waziri anawasilisha hotuba yake ya budget hadi anamaliza hakuna cha muongozo wala hakatishwi, just anasikilizwa tu. Kama Waziri amedanganya kwenye Budget yake then katika uchangiaji wa Budget, mbunge anaejua atajulisha Bunge yakuwa Waziri...
"Wenzetu wa mataifa mengine huuchukulia ugaidi, na vitendo vyake vyote kwa tahadhari na umakini mkubwa, hawakurupuki, hawaropoki na wala hawashutumu bila kufanya uchunguzi wa kina na kujidhirisha kama kweli kuna tendo/kitendo cha ugaidi ama laa. Mfano raisi Barack Obama kwenye maelezo yake ya...
What about Maalim na mawaziri kutoka CUF ambao wanasema hadharani MKATABA! Watatimuliwa pia?
On ma opinion Shein anajitutumua ila amechelewa sana, hawezi shinda hii battle.
Martin David
Serikali ni wananchi, viongozi wafanye vile wananchi wanaona inafaa.
Mimi nadhani Serikali ipo right kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao. (not kuchoma makanisa).
Wapeleke tu kura ya maoni.
good news kwa kushinda Shein, sio BILAL tu kaanguka! wameanguka Janjaweed na wote waliokuwa tayari kuturudisha kwenye jino kwa jino.
Looking foward to to see free and fair election October 2010.
Mkuu sijaelewa hapa just nieleweshe.
Atakaefariki ni ataempinga JK ndani ya CCM or hadi wagombea wa vyama vya upinzani wataosimama kuwania URAIS 2010??
Nakumbuka mara moja Mh Ali Ameir kule Zanzibar alikuwa Mbunge wa jimbo la Donge, Mjumbe Baraza la Wawakilishi kuteuliwa na Rais, Waziri wa mambo ya ndani Tz, Waziri asiekuwa na Wizara maalum ZNZ (MBM), Naibu katibu mkuu CCM Zanzibar.
Kwenye CCM tena mjumbe wa vikao vyoote vya juu ZNZ na TZ...
Serikali ya Mungano (Bara) wanafanya kila hila kuimaliza Zanzibar kiuchumi, ili tu ifikie mahali Wazanzibari waseme tumeshindwa kujiendesha. Na ndio maana kila kitu chenye nia ya kuinua Zanzibar, inasemwa kipelekwe kwenye mamlaka ya Muungano.
Haya yote ni janja ya Serikali mbili kuelekea moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.