Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Mjumbe Rashid salum: Anamsifia JK na anasema viongozi wa znz ni waoga na hawajui wanachokifanya. anashauri viongozi wa znz waamke na wawe wawazi.anashauri tujitenge na kila nchi iwe na mamlaka yeke kisha tuweke mkataba wa mashirikiano.