ila ule ukweli kwamba sisi binadaamu tunajiaminisha kuwa ukiwa na pesa matatizo yako yote yatakuwa yamekwisha na kuwa na furaha,amani kila wakati lkn ni uongo dada etu apo anamahela kama yote lkn bado anataka kujiuwa.iman ndo imemsaidia mpk xx yuko hai na kachana na hiyo mambo ya kujiua...
Tuunge kundii zen tudiscus nini tufanye tiepukane na maisha ya kutegemea ajira ndugu zanguni aliyepost atakua admin coz ni mtu aliyetoa wazo tunaomba ushirikiano wako erickdenja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.