Recent content by 900 itapendeza

  1. 900 itapendeza

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Yani ile moment huwa naikumbuka sana
  2. 900 itapendeza

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Alinitajia kwenye bas ila nimelisahau
  3. 900 itapendeza

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nakumbuka miaka hiyo nipo nafanya harakati za kuripoti chuo baada ya kuhitimu kidato cha sita.Siku hiyo nilikuwa safarini kutokea moja ya wilaya za mkoa wa Morogoro kuelekea yaliko makao makuu ya mkoa .Kama mjuavyo jiografia ya mkoa huo kunauwezekani wa kusafiri kwa masaa zaidi ya 8 ndani ya...
  4. 900 itapendeza

    Simba uso kwa uso na Yanga fainali ya kombe la Mapinduzi

    duuuuuh kaz itakuwepo huko Zenji,
  5. 900 itapendeza

    Mbinguni sio salama, ni propaganda tu!

    Duuuuuuuuh ngumu kumeza
  6. 900 itapendeza

    Je,ni kweli ya kuwa kadri unavyokuwa na taaluma ya ngazi ya juu ndivyo hofu na uoga unaongezeka maishani mwako?

    Wakuu salaam natumai mu wazima wa afya njema.Pili hongera na pongezi kwa Watanzania wote kwa hatua ambayo taifa letu limeifikia ya kuwa na uchumi wakati ni jambo la kipekee. Turudi kwenye maada ndugu zangu miaka kadhaa iliyopita nikiwa katika moja ya taasisi ya elimu ya juu hapa nchini kunasiku...
  7. 900 itapendeza

    Yapo wapi mapenzi na mahaba ya kale?

    Ok,sawa ila mizinga imekuwa too much
  8. 900 itapendeza

    Tukumbushane mbinu za kuweza kukutana na msichana ambae kwao ilikuwa ni geti kali kwa miaka ya nyuma

    Nipende kutambua yakuwa uvumbuzi na utanuzi wa teknolojia umekuwa msaada sana hususani katika swala la kimawasiliano .Miaka ya nyuma nakumbuka ilikuwa mbinde sana kumchomoa mtoto wakike kutoka kwenye ngome ya kwao kutokana na ufinyu wa nyenzo za kimawasiliano Vijana hawakubaki nyuma kubuni mbinu...
  9. 900 itapendeza

    Yapo wapi mapenzi na mahaba ya kale?

    Duuuuuuuuuuh,,,,kwahiyo sikuhizi ni mwendo wa kula kulana kuliwa dhambi
  10. 900 itapendeza

    Yapo wapi mapenzi na mahaba ya kale?

    Hatakama lkn uthamani na utamu wa mahaba umetoweka jaman
  11. 900 itapendeza

    Yapo wapi mapenzi na mahaba ya kale?

    Mhuuuuuuu,,,,,mkuu nikwel uyasemayo lakini je hakuna haja ya kuungana na kupinga utapel huu?
  12. 900 itapendeza

    Yapo wapi mapenzi na mahaba ya kale?

    Wakuu ninze kwa kuwasabahi nyote na matumaini yangu mu wazima wa afya tele. Nipende kujielekeza kwenye maada moja kwa moja.Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana kuwa hivi nini chanzo cha kutoweka kwa mapenzi ya kale kwani kimsingi yalikuwa na changamoto zake lakini pia yalikuwa si pasua kichwa kama...
Back
Top Bottom