Recent content by 81deomtui

  1. 81deomtui

    Ndondocha na utajiri

    Sijaelewa ulitaka kusemajeblabda
  2. 81deomtui

    Jenister Mhagama Ukubali au Ukatae Ila Ukweli Ni Kwamba...

    Jipu uchungu ndio linaanza kikomaa litatumbuliwa tu
  3. 81deomtui

    Joshua Nassari aiombe radhi CHADEMA

    Unaleta siasa za maji taka humu wakati maendeleo ndio kipaumbele cha taifa na ustawi wa Taifa letu.mawazo yako ni mgando kabisa mleta uzi tena wewe ni mnafiki na mzandiki mkubwa.kwa hiyo kama kamsifia ulitaka amshike mashati palepale au?ile ni issue ya kitaifa ww umekalia siasa tu.kama unaona...
  4. 81deomtui

    Joshua Nassari aiombe radhi CHADEMA

    Kwenye mambo ya msingi wekeni siasa kando.
  5. 81deomtui

    Kupatana.com mnaboa sana....

    Kweli kabisa inaboa.kama biashara ya tangazo husika imeshafanyika then tangazo liondolewe kuepusha usumbufu.mimi kuna jamaa alikua anauza kuku nilipomtext akanijibu hovyo kabisa.eti wewe nani wakati biasha kaweka yeye mwenyewe.nilimshambulia kwa matusi ya kasi ya ajabu mpaka akatambua kwamba...
  6. 81deomtui

    Aibu Kuu: Waumini tunapoteza imani, Wachungaji wanagombea Sadaka!

    Hujakosea mkuu.hata malaika akitembelea mtu hadai chochote anajiondokea kama alivyokuja.jiule hata rais wa nchi akialikwa na raisi mwenzake garama za usafiri anajigaramia japokua amealikwa.
  7. 81deomtui

    Aibu Kuu: Waumini tunapoteza imani, Wachungaji wanagombea Sadaka!

    Mkuu sadaka ni ibada kutoka ndani ya moyo.kwa hiyo inapaswa kutoka moyoni na sio kulazimishwa na porojo kibao zisizokua na tija.sadaka pia ni shukrani na pia kusaidia wasiojiweza.yatupasa kuhakikisha majirani zetu pia wanaishi vema na kuwasaidia kama kristo alivyotufundisha.kule kanisani kwetu...
  8. 81deomtui

    Aibu Kuu: Waumini tunapoteza imani, Wachungaji wanagombea Sadaka!

    Hili ni jipu hatari sana kwa ustawi wa kikristo.wanakamua waumini ile mbay bila hata ya kujali vipato vya hao waumini vinatokana na kazi ipi na je kama halali au laa.mimi nataka mtoto wangu abatizwe lakini hiyo michango ambayo nimeshangishwa ni mingi mno.looh mnaatukaanga jamani sisi waamini kwa...
  9. 81deomtui

    Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

    Ndimu huna,mbilimbi huna,limao huna utapikaje mchuzi alisikika Mbwiga na kusema yy ndio sili.kaa hapa hapa
  10. 81deomtui

    Jamani hivi kweli huku ni kumuaga marehemu?

    Kaaanga fotooo...kwani kuna ubaya gani kupata picha ya kumbukumbu?mbona wabongo wanafiki hivyo au tuambie ulitaka afotoleweje?
  11. 81deomtui

    Hivi kwanini wanawake wanapenda kulala upande wa ukutani?

    Wewe ndio mang'aa kabisa.kwa nini usofanye utafiti kwa kuwauliza wao halafu unaleta mawazo yako mepesi huku na utoto wako hapa.nya...fu
Back
Top Bottom