Recent content by 8' Gwiji

  1. 8

    Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

    Dar hakuna raha yoyote mtu hawezi kujiita tajiri ukaishi hapa sema ni part ya kuijenga nchi ndo maana watu wapo ukianalyse issue usiangalie tu unaish wapi unaspend vp,assume umepata emergency hakuna hosptal ya maana kufika airport utakua ushakufa,wadau kumbuken walivyotangaza cku moja kuwa na...
  2. 8

    Chris Lukosi aelezea sababu zilizomfanya arudi CCM

    Dah huyu jamaa amenifurahisha sana yaan kuna barabara nzuri ambazo hajapata ona na anadai yuko uk au ile uk ya ukerewe? Ukisikia mbute ndio hii
  3. 8

    CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

    Hebu weka hapa ya kwako na ya komba ili tujue uwezo wenu wa kuanalyse na kukata viuno respectively.
  4. 8

    Naamini mume anapatikana popote..basi nam natafuta mume ishaalah...

    Chuo mwaka wa ngpi isjekua ni strategy maana boom nalo mhh!
  5. 8

    Natafuta serious wife.

    Mkuu yan umejiunga leo halafu duhh, au ndo unaogopa kuharibu goodwill ya id yako? Anyway kila la kheri.
  6. 8

    Maafisa waandamizi wa polisi wasimamishwa kazi NA KUSHITAKIWA

    inaonesha hii nchi ishaanza kua ndogo kila mtu anatafuta pa kutokea,hata zile stori za longi askari kukamata gongo halafu wakainywa na kupeleka maji mahakamani zilikua kweli dahhh.
  7. 8

    Nyerere mzee wa mikakati gwiji na mahiri wa siasa Afrika

    huu ni ugoro tena wa bibi ambao unaomsaidia kupiga chafya tu!
  8. 8

    Nimetapeliwa jamani

    dahh pole aisee, ila huwezi kumckiliza mtu wa kukutana nae tu halaf mkaenda kufanya biashara kwenye ngazi manake bureu huwa wana office na wanaangalia vitambulisho na wanatoa risiti ambazo zina id reg. ya ktambulisho chako labda kama na ww hizi forex ulipiga sehemu.
  9. 8

    Waziri wa mambo ya ndani, wala rushwa jeshi la polisi hawahapa............!!!!!

    never haipo, haijawahi,kuwepo wala haitatokea sema mm najua kuna watu huwa wanalaumiwa bure tu.
  10. 8

    Rais Kikwete; Watanzania tukukumbuke kwa lipi ulilotufanyia?

    me ntamkumbuka kama rais wa awamu ya nne,ofcourse ni mzee wetu na ana ubinadamu sana tatizo ni uoga wa kuyasimamia mambo tuliyomtuma kufanya ilihali tunamgharimia kila kitu kubwa ikiwa ulinzi wa ukweli wake sa cjui uoga unatoka wapi?
  11. 8

    Waziri wa mambo ya ndani, wala rushwa jeshi la polisi hawahapa............!!!!!

    we jamaa acha njaa bana we unatumia sh ngap kwenye gari yako?yan elfu tano ndo mpaka jf tujadili,zaidi ya yote wamekwambia kama vipi kaa kwenye folen unajua wafanyakaz weng wa serkali njaa tupu na humu ndo wanatokea,imagine mtu kasimama barabaran pale ubungo jua kali anavuta magari we uko kwenye...
  12. 8

    Dr Hamis Kigwangala(Mbunge); Najipanga kuacha siasa

    mkuu hata mm sielewi nilijua ni vifupisho vya kiingereza na kiswahili tu naomba mnaojua mtujuze.
  13. 8

    JK ateua Mwenyekiti mpya Bodi ya TBS, waziri ateua wajumbe wapya

    Viwanda na biashara ipo kwenye muungano?
  14. 8

    Je, Mh. Rais katususia nchi?

    ukickia wa2 "K" na "t" ndo ww, post zako karibu zote huwa ni ush.....uzi mtupu.
  15. 8

    Hatma ya Blandina Nyoni

    Dah hadi ngoma? Si mchezo ila mkuu mbona username yako kama vile kwa mbaaali kuna element za gamba.
Back
Top Bottom