Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,248
Mimi nta mkumbuka kama raisi
aliye shindwa kuongoza nchi, kama wakati anaingia madarakani deni la
taifa ni trillion 5, leo ni trillion21,kama kiwango cha ufaulu kili kuwa
zaidi ya asilimia themanini leo kipo arobaini na, je na wewe
utamkumbuka kwa lipi?
Mi ntamkumbuka kwa yale mabilion yake alotoa kwa majasiriamalh:-D