Wakuu poleni na mapambano na kupambania maslahi ya wengi/taifa. Kuhusiana na uzi huu, nadhani swala la msingi lisiwe kujadili issues based on our religious and/or ethnic backgrounds. Ila iwe on basic human rights, sheria inasemaje juu ya makosa wanayohodhiwa nayo. Utaratibu wa dhamana unasemaje...
Ndugu yangu Mtoi, nimesoma kwa makini sana mawazo yako. Nakubaliana nawe kwa karibu juu ya mambo mengi kati ya hayo. Inapendeza sana pale unapotoka nje ya box na kuuona ulimwengu katika rangi zake halisi baada ya kusimuliwa na walioona na kupotoshwa. Ukweli ni kwamba nchi hii itabaki kuwa yetu...
:lock1:
Hapa naanza kuelewa ile mamabo inaitwa uhuru wa mahakama. We surely should okoa our ecosystem`s integrity kwa gharama yeyote ile. Yours for a better, greener kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.