rifwima
JF-Expert Member
- Apr 21, 2010
- 507
- 214
hata SATA na OBAMA walitumia mbinu hizo hizo,lakini ukiingia madarakani ndipo utagundua mambo magumu kweli kweli.Kuwa RAIS au kuunda serikali si ishu ya kitoto au mambo ya mzaha,kuna masuala nyeti ambayo yanachangamoto kila siku.Mbwembe za nguvu ya UMMA imewagarimu LIBYA na MISRI hali imekuwa mbaya zaidi.Je na sisi tuige upuuzi huo? tutumie Demokrasia VIZURI bila JAZBA au kudharau manikio yaliyopatikana hata kama ni 1%.Leo hii CHADEMA ina wabunge 48 lakini majimbo ya mfano ni 3 tu toka waanze mbwembwe zao.Tunataka wajikiite kuyaboresha majimbo 45 ili tuwape dhamana na MAJIMBO mengine badala ya kuandamana na kuleta uchochezi kwa SERIKALI ishindwe kutimiza wajibu wao.IPO siku watanzania wataamua kuwapa kura za RAIS lakini si 2015....yaani baadaye sana.CCM bado ina hazina ya VIONGOZI ambao wana PROFILE za kiuongozi unaoheshimu utawala wa sheria.
Hivi CCM, au kuwa CCM ndo unakuwa Mtanzania sahihi? Its seems like watanzania walioko kwenye vyama vyao vingine tofauti na CCM are not Tanzanians? Ebu ondoeni hii wrong notions kwenye vichwa vyenu. CHADEMA, na vyama vingine vya siasa ni vya watanzania tena watanzania makini na wana haki ya kupewa kutwala nchi hii kwa ridhaa ya watanzania wenyewe. Mnaogopa nini nyinyi magamaba? Hii nchi ni yetu sote. CCM haina hati miliki ya nchi hii. Watanzania wote tuna hati miliki ya nchi hii. FUNGUKENI. Think broadly please!!!!!!!. Sasa kama Obama na Sata wameshindwa ndo Vyama vingine tofauti na CCM vitashindwa pia? CCM imeshinda/imeweza nini ambacho ni significant in the last 50 years?