Msaada,kijana anataka kujisajili huku HPRS ili atume maomba ya kazi,sasa sehemu hii ya mfumo wao haitaki kurespond(hiyo drop down box hairespond chochote) hivyo hawezi kuendelea na usajili,shida ni nini? Hata technical support hawapokei simu
Ndugu zangu kwanini kuomba kuunganishiwa umeme na Tanesco imekua kama hisani hasa kwa chanika ,wananchi wanaomba umeme tangu mwezi June hadi sasa hakuna chochote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.