Kwanza nikupongeze kwa kufikiria na kuamua kujiajiri,rafiki Yangu anafanya biashara hio na niliwahi kumuuliza akanijibu ni biashara nzuri sana ila faida yake ni ndogo sana na inahitaji mtaji mkubwa atlist 20 million.katon1 ya maji ina faida ya sh.200 tu na katon ya soda au juice ina faida hiohio...
Nimekuwa najiuliza Mara nyingi inakuwaje wafanya biashara wakubwa katika nchi yetu ni Waarabu na Wahindi Lakini pia Wachaga na Wapemba nao hawapo nyuma katika ujasiriamali.Ukiangalia sekta ya viwanda wanaomiliki ni Wahindi na Waarabu 99% na upande wa maduka makubwa Wachaga na Wapemba...
Ninachofahamu Mimi ni kuwa wanapewa muda kama mwezi mmoja au miwili kisha wanaondoka katika nyumba za serikali kwa wale ambao wanafukuzwa kwa mfano Nape,Muhongo na wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.