Naibu Spika Tulia Ackson asema Spika Ndugai ni mzima na ana afya tele

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,428
Naibu spika Tulia Ackson amesema spika wa JMT ndugu Job Ndugai ni mzima na ana afya tele.

Hayo ameyasema leo alipofanya mazunguzo na kituo cha redio One. Pia ameomba Watanzania wasiamini taarifa zinazotoka mitandao ya kijamii kabla ya kuthibitishwa na mamlaka husika.
 
Naibu spika Tulia Ackson amesema spika wa JMT ndugu Job Ndugai ni mzima na ana afya tele.

Hayo ameyasema leo alipofanya mazunguzo na kituo cha redio One. Pia ameomba Watanzania wasiamini taarifa zinazotoka mitandao ya kijamii kabla ya kuthibitishwa na mamlaka husika.

Kwa hiyo?
 
Naibu spika Tulia Ackson amesema spika wa JMT ndugu Job Ndugai ni mzima na ana afya tele.

Hayo ameyasema leo alipofanya mazunguzo na kituo cha redio One. Pia ameomba Watanzania wasiamini taarifa zinazotoka mitandao ya kijamii kabla ya kuthibitishwa na mamlaka husika.
Amen Mungu amwinue apone ili aende kumwona mbunge wake wa singida masharik....
 
Naibu spika Tulia Ackson amesema spika wa JMT ndugu Job Ndugai ni mzima na ana afya tele.

Hayo ameyasema leo alipofanya mazunguzo na kituo cha redio One. Pia ameomba Watanzania wasiamini taarifa zinazotoka mitandao ya kijamii kabla ya kuthibitishwa na mamlaka husika.
Amen Mungu amwinue apone ili aende kumwona mbunge wake wa singida masharik....
 
Naibu spika Tulia Ackson amesema spika wa JMT ndugu Job Ndugai ni mzima na ana afya tele.

Hayo ameyasema leo alipofanya mazunguzo na kituo cha redio One. Pia ameomba Watanzania wasiamini taarifa zinazotoka mitandao ya kijamii kabla ya kuthibitishwa na mamlaka husika.
kama ni mzima wa afya si arudi kazini sasa?
 
Ni mzima ana afya tele alikuwa kajificha tu maskani hataki bughudha za Wabongo!!!
Naibu spika Tulia Ackson amesema spika wa JMT ndugu Job Ndugai ni mzima na ana afya tele.

Hayo ameyasema leo alipofanya mazunguzo na kituo cha redio One. Pia ameomba Watanzania wasiamini taarifa zinazotoka mitandao ya kijamii kabla ya kuthibitishwa na mamlaka husika.
 
Kama afya yake imeimarika arudi aje asaidie harakati za kuua upinzani
 
Mwambieni sisi tunasubiri risiti ya efd asisahau huko India ni muhimu kuja kutuonyesha walipa kodi
 
Back
Top Bottom